Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #61
Nyie Boda boda ni mabwabwa unaruhusu vipi uhemewe nyuma na mwanaume mwenzioMbona mama yako mzazi anaburudishwa na bodaboda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie Boda boda ni mabwabwa unaruhusu vipi uhemewe nyuma na mwanaume mwenzioMbona mama yako mzazi anaburudishwa na bodaboda
Huyo siku yake imefika ila bodaboda analazimisha kufa mwenyeweKuna mwenziwetu job amefariki like 1 month now kwa ajali ya gari (Mercedes). Kabla alikuwa anaendesha click kwa zaidi ya miaka miwili ndio usafiri wake wa kwenda na kurudi kazini lkn hakuwahi ht kudondoka ila kaja Kupata ajali wakati akiwa na gari.
Ulikuwa utoe ushauri tu kwa waendesha bodaboda waendeshe kwa kuzingatia usalama wakiwemo barabarani.
Nimeshagonga wake wa bodaboda kama 8 hivi huwa wakiwa kijiweni Mimi wake zao wanakuja home natembeza rungu Kuna mmoja Kuna mmoja anamtoto wangu yaani dogo kafanana na Mimi sana ila bodaboda ndio analea sijui tatizo nini mpaka wake zao wanawasaliti maana wawili nimetoka kuwagonga wiki iliyopitaTena nimekumbuka👻
Ivi unatambua umuhimu wa kale ka'vibration ka engine kwenye izo twin turbo super charger 🍆 pale kiunoni😅
Ndo maana kila wakiweka imooo🤰🏿 😂😂
Mtoto wa kiume kiuno kinatakiwq kiwe on duty everytime ndo maana vijana wanalala wamechoka asee😅
Mwakani mwezi wa saba nitafikisha miaka 20 ya kukimbiza upepo kwa boda tusipangiane mishe!Yaani hiki chombo Cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda Chali Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya kijinga kama Boda Boda naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe ni uchafu yaani unakufa kisa buku si ujinga huu
Hamna kazi apoMa Afisa usafirishaji, wanaishi kwa kutegemea hizo pikipiki zao.
Muwatiee moyoo bhana.
Hamna maisha waliyonayo mpaka useme tuwachieKama hawaji kwako kuomba hela ya kula waache na maisha yao.