Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Hata uchafu siku hizi Ni kazi inayozingatiwa.Hiyo sio kazi ni uchafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata uchafu siku hizi Ni kazi inayozingatiwa.Hiyo sio kazi ni uchafu
Bora ufe bila kutaka ila ukiwa bodaboda unalazimisha kifo mwenyeweNa aliye kwambia ukiendesha bodaboda ndo hufi mapema nani😂?
Hata boda wanarogwa sana tuHuyo karogwa sio kifo Cha kawaida hicho
Kweli ni Kwa wewe uchafu unaweza kuwa kaziHata uchafu siku hizi Ni kazi inayozingatiwa.
Mimi sijawahi kupanda Bodaboda.Yaani hiki chombo Cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda Chali Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya kijinga kama Boda Boda naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe ni uchafu yaani unakufa kisa buku si ujinga huu
Hamna mtoto wangu anaepanda bodaboda wasubiri nikiwa nimekufaNkajua utasema hutoruhusu watoto wako kupanda bodaboda....nilitaka nishangae jiranii
Sio kazi hiyo ni uchafu Fulani kama unaendesha boda boda huna akiliAisee unazingia hii ni kazi kama kazi nyingine, tuheshimiane wewe kama unaona huendani nazo temana nazo uvunge kimya kimya
Sawa Bezos.Kweli ni Kwa wewe uchafu unaweza kuwa kazi
Aisee boda boda ni uchafu Fulani hiviMimi sijawahi kupanda Bodaboda.
Bora hata Bajaji kuliko Bodaboda.
Endelea kuchezea huo uchafuSawa Bezos.
Bora chawa anatumia akili kupata pesa ila bodaboda Hana akili ya kupata pesa anakufa kisa bukuWewe endelea na kazi nzuri ya uchawa!