Msukuma au asiye msukumaEti wakuu?
Vitumbua au maandazi au donati ngapi ndo standard?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msukuma au asiye msukumaEti wakuu?
Vitumbua au maandazi au donati ngapi ndo standard?
Nimekulia kanda ya ziwa ila naishi kanda ya wazaramo 😁Mzaramo au Msukuma?
Nimeuliza chapati anayekula ni mzaramo au msukuma? kabla hatujatoa majibuNimekulia kanda ya ziwa ila naishi kanda ya wazaramo 😁
Si maandazi haya ya mia mia mkuu ni yale moja jero.mkuu huyu wa maandazi au vitumbua vitatu ni me au ke?
Hyo kitaalam inaitwa UPIGAJI na sio ulaji.We kula tu hadi ujihisi kuhema kwa tabu, ndio unastop.
Kipimo sahihi
🙆♂️🙆♂️Si maandazi haya ya mia mia mkuu ni yale moja jero.
Binafsi nakulaga maandazi 4 au 5 ndio Huwa najisikia vizuri tena haya ya mia mia Chapati Huwa nakula 3 ndio nimeshazoea hvyo
Ukweni Au Kwako Mkuu??
hizi Chapati ni zile za mia mia au? maana kama ni zile kubwa za jero au buku buku duh 🙆♂️Chapati 6 na nusu kikombe cha chai
sasa hapa mbona kuna mchanganyiko wa maandazi na vitumbua?🙆♂️ anazalisha nini huyu bwana?Kipimo sahihi👇View attachment 3269178
Binadamu tunatakiwa kula kwa scale mkuu.Inategemea nimeamkaje na mfuko unasomaje
duh iki kipimo chako kiboko🤣hadi ujihisi kuhema kwa tabu, ndio unastop.
Mimi vya vitumbua miamia nakula 20Eti wakuu?
Vitumbua au maandazi au donati ngapi ndo standard?
Kwa afya yako mm nakushauri unywe na viazi,magimbi au mihogo sio maandazi chapati Wala donati. Kila la heriEti wakuu?
Vitumbua au maandazi au donati ngapi ndo standard?
vingapi au ndo inategemea na kabila la mtu?🤣viazi,magimbi au mihogo