Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiongozi hiyo supu nyama iko chini au tukuache kwanza.🤣
kiongozi hiyo supu nyama iko chini au tukuache kwanza.🤣
Hutakiwi kunywa chai.Eti wakuu?
Vitumbua au maandazi au donati ngapi ndo standard?
Hiki ndicho kiwango kilichoidhinishwa na Chama cha Mapinduzi.Eti wakuu?
Vitumbua au maandazi au donati ngapi ndo standard?
sasa kiongozi izo ni Chapati au mabati ya kiboko?
sasa kiongozi ukishameza vyote ivi (hasa ayo mayai) hlf unakaa mwenyewe auMayai, sambusa, soseji, nyama, maini au maharage
Sio lazima ule vyote, unakula baadhi yake tu, pia kukaa mwenyewe sio sababu ya kula mlo wa kifungua kinywa duni kama wa chai ya rangi na vitumbua, chapati au maandazi tu kama waswahili walivyozoea.sasa kiongozi ukishameza vyote ivi (hasa ayo mayai) hlf unakaa mwenyewe au
Hizi ni chapati kavu za somaliland wanakandia mkononi hazina mafuta zinachomwa kwenye moto ni za unga wa mtama.
umeshakula kiongozi au tukuache kwanzaMbona maswali ya kitoto sana haya aisee