Hapa kidogo nimeridhika lakini tatizo hata umpe ngapi ye nikubeep tu,
tena hata ukimuwekea hakukumbuki mpaka salio lielekee ukingoni na
ukiongea nae haonyeshi kupenda sana kuendelea na mazungumzo!
mapenzi ya kishamba na ya zamani vocha kitu gani kitu gani wewe? watu wanaombwa vitz na wanatoa?
acha ubahili
Unanikumbusha X BF wangu, nilikuwa nabeep ye anapiga tu hatumi vocha kama nataka kuongea
na mtu na vocha sina alikuwa ananiunganisha kupitia simu yake kwa hiyo yeyote nitakayeongea
naye yeye alikuwa anasikia ingawa alikuwa hachangii kitu. Tumeachana lakini tatizo ni jingine na sio hilo
la simu. Vipi unapenda hiyo staili?
Halafu na wewe uache kulalamika, yani buku 2000 ndo unalialia hivyo. Wenzako tunasemaga hivi, nina shida ya laki mbili mpenzi, naweza kupata leo jioni? Hapo ni saa nane mchana.........ha ha ha unauilizwa za nini nataka nijze gri mafuta kabisa manake.....................................hapo humalizii hiyo manake wala nini..............
Ulikuwa unahitaji jioni ya saa ngapi sasa, kama saa 11 hivi.....ha ha ha, halafu n ile nguo yangu kwa fundi aliniambia nipitie leo, ilibaki elfu hamsini. Yani hapa nilipo hata senti tano sina ungeniongezea na elfu hamsini ingenifikisha Ijumaa..................hapo ni jumatano hiyooooooooo
Saa kumi na moja mzee unakiona kibaba kinatokea, kinafungua wallet kinakukabidhi laki 2, hapo hakuna kuulizwa yani mafuta ya laki? Noo Hakuna maswali.......ACHA KULIA
Wanaume "mkono wa birika" utawajua tu! Sisi wengine tunatuma 100,000/= kila mwanamke anapoku-beep
kumbe hii tabia ni ya wanawake wengi sana!!! maana kila mwanaume analalamikaImekuwa ni kawaida kwa wanawake wengi kuomba salio
kwa wapenzi wao, ajabu ni kwamba huwa hampigi simu
bali mmezoea kubeep, tena hata ukitumiwa salio bado utabeep
Asubuhi tu umetuma 5,000 Jioni anakubeep, bado sijaelewa hapa!
Hivi ninyi ni nani hasa huwa mnapenda kumpigia?
Nyumba ndogo yoyote na kidumu au kindoo kule nahonga maana sipaswi kufanya hayo
Ila kwa wife ni wajibu na ni lazima nitoe hilo halina mjadala
Pia kwa yule friend ambaye sio kidumu wala kindoo wala nyumba ndogo bado nahonga nikitegemea fadhila siku moja
Dah, nitakuwa situmi sasa, nitapiga mimi tu!
we umependa nini hapo? Hujui kuwa watu kama hao wakiombwa chochote na wazazi waoNimeipenda hii.................:flypig:makofi tafadhali
Duh! hizo red mkuu zinahitaji ufafanuzi wa kina vinginevyoMi naendelea kusisitiza kuwa humu tupo wa vipato tofauti. Kuna wakati (si miaka mingi iliyopita), nilikuwa siamini kama kuna siku nitakuja kumpa mwanamke sh elfu 20. lakini sasa hivi ni quit different...
Alaf msidhani wa kupewa hela nyingi ni kiwango sana zaidi ya wa kupewa hela kidogo, no wengine ni zali tu. Alikuwa anapokea buku 2 jana, leo kakutana na kibosile anapokea minimum laki kadhaa, au alikuwa anapewa laki ya kusuka jana, leo limebumburuka yuko na jamaa ambaye akimpa buku tano anashukuru Mungu.
Sio siri mitaani huku kuna wanawake wakali ile mbaya lakin wanahongwa chipsi kuku wanatoa kila kitu na ukienda nao kitandani unaweza cheza hata na goli 6 na bado usikinai. At the same time wapo wa malaki na bado ujanja hana on ze bed, gogo, gogoooo....
Kwa hiyo ndugu yangu mtoa mada wala usiumie kichwa watu wanapokwambia wanahongwa malaki ukadhani kuna watu wanafaidi kuliko wewe...
By the way, hao wanaohongwa laki mara nyingi wanabweteka, na mapenzi hawajui kabisaaaaaa...