Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Haiwezekani mbinguni au katika ulimwengu tusiojua wanaishi viumbe wawili wanaoogopana. Sasa tutajua nani mwenye nguvu?

Inasemekana shetani ni mbaya kama tulivyokalilishwa na Mungu lakini inakuwaje Mungu ashindwe kumuangamiza kama kweli Mungu hashindwi chochote?

Hata wachungaji/mapadre wenyewe hawataki shetani aangamizwe mana watakosa cha kutuhubiri ili kupiga hela. Kwa maana nyingine shetani kawapa ulaji wachungaji. Siku akitoweka tu mapdre/ maskofu / wachungaji watakufa njaa maana watakosa cha kutudanganya.
 
Haiwezekani mbinguni au katika ulimwengu tusiojua wanaishi viumbe wawili wanaoogopana. Sasa tutajua nani mwenye nguvu?

Inasemekana shetani ni mbaya kama alivyotukalilishwa na mungu lakini inakuwaje mungu ashindwe kimuangamiza kama kweli munvu hashindwi chochote?
Acha kukufuru, uliza vizuri ueleweshwe. Kwani Yesu aliposurubiwa na kuuwawa ilimaanisha Mungu kashindwa na shetani? Nenda kasome Mithali 27:11 utaelewa kwa nini mambo yapo kama yalivyo
 
Acha kukufuru, uliza vizuri ueleweshwe. Kwani Yesu aliposurubiwa na kuuwawa ilimaanisha Mungu kashindwana shetani? Nenda kasome Mithali 27:11 utaelewa kwa nini mambo yapo kama yalivyo
Mithali ya wapi tena. Hivi unajua biblia siyo kitabu cha Mungu. Ni ujanja wa akina paulo tu kihadaa ulimwrngu. Wapi. Mungu alisema biblia ni maneno yake saidi ya kuandikwa na kutungwa na watu Yesu mwenyewe haitambui biblia na hajasema popote muisome. Nioneshe ni wapi yesu alisema msome biblia
 
Mungu na shetani ni Fictional characters.

Hawana tofauti na Tom and Jerry.

If Tom kills Jerry our favorite cartoon show is over.

If God kills Satan Religion is over.

And the religion business will completely go down and shut down.

Satan is the core selling point in the religion business.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mungu hawezi shindwa na kitu chochote na ukumbuke huy Satan ameumbwa na huyo huyo unaesema amemshindwa je mtu aliye kuumba anajua everything about you atashindwa kukuangamiza Sasa bas anaacha hv kupata watu wake walio Safi na neno litimie pia.
Sasa haoni amewapa ulaji watu ili watupige kama fimbo
 
Haiwezekani mbini au katika ulimwengu tusiojua wanaishi viumbe wawili wanaoogopana. Sasa tutajua nani mwenye nguvu?

Inasemekana shetani ni mbaya kama alivyotukalilisha Mungu lakini inakuwaje
Mungu ashindwe kimuangamiza kama kweli Mungu hashindwi chochote?
Kwanza tumia capital letters kutaja jina la Mungu.

Mwanzo wa Mungu pia ndio mwanzo wa shetani, ambaye mwanzo alikuwa malaika, ndie alikuwa malaika mkuu 2nd in command baada ya Mungu.

Mungu ana nguvu na shetani ana nguvu, ila nguvu za Mungu ni kubwa zaidi ya nguvu za shetani kwa mambo mawili tuu, creation of life, and taking back the life, lakini vitu vingine vyote, everything God can do, the devil can do!.

Shetani alipoasi alifukuzwa tuu mbinguni lakini alibaki na nguvu zake zote. God ananguvu kuliko shetani lakini hawezi kumuangamiza shetani!.

Shetani ni mzuri sana kwa kuji disguise hivyo alipoingia bustani ya Aden kum tempt Eva, alijigeuza nyoka akapenya bustanini, kule akajigeuza mtu, ndipo akamshawishi Eva kula lile tunda, kwa kumuonyesha kwa practical kabisa jinsi tunda linavyochumwa, linavyo megwa, akammegea Eva, Eva na shetani wakala tunda.

Baada ya Eva kuuonja utamu wa tunda, akampelekea Adamu tunda, akamfundisha tunda linavyomegwa. Adam akamkatatalia kula tunda lililokatazwa na Mungu. Eva akamlazinisha, Adamu akakubali kumega tunda, na kutokana na utamu wa tunda, Adam na Eva wakaishia zao uzingizini!.

Shetani akasepa zake.

Walipoamka, wakaanza kuona noma!, ndipo Mungu akamuadhibu Eva, atazaa kwa uchungu kufidia utamu wa tunda, na hiyo dhambi ya kumega tunda, ndiyo dhambi ya asili, ili binadamu azaliwe, lazima kwanza dhambi ya asili itendwe ndipo mi.ba itunge!. Kuna binadamu mmoja tuu aliyekingiwa dhambi ya asili, ni Bikira Maria, alipata mi.ba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.

Hata sasa Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.

P
 
😁😁unawatoto wawili,mmoja mwelewa mwingine mbumbumbu,je unaweza ukamuua yule mbumbumbu au utamwacha aishi kwa nafasi yake ili mbumbumbu wenzie wamfate!?
 
😁😁unawatoto wawili,mmoja mwelewa mwingine mbumbumbu,je unaweza ukamuua yule mbumbumbu au utamwacha aishi kwa nafasi yake ili mbumbumbu wenzie wamfate!?
Kwa hiyo mungu kaamua kumficha ili kututesa sisis tunaoonekana live
 
Mungu hawezi shindwa na kitu chochote
Mungu huyo, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na uovu, dhambi na mateso?

Mungu huyo, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasio na uwezo wa kutenda ubaya?

Mungu huyo, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na huyo shetani?
na ukumbuke huy Satan ameumbwa na huyo huyo unaesema amemshindwa je mtu aliye kuumba anajua everything about you atashindwa kukuangamiza Sasa bas anaacha hv kupata watu wake walio Safi na neno litimie pia.
Huyo Mungu kama alimuumba Shetani na anamwachia afanye uovu kwa kigezo eti neno litimie, Mungu huyo ni mpumbavu sana.
 
Kwa hiyo mungu kaamua kumficha ili kututesa sisis tunaoonekana live
apo kazi kwako,kumfata Mungu au shetani unakoona wewe kuna usalama zaidi,,na kama ni msoma maandiko majibu ya maswali yako yote yapo mle.
 
Back
Top Bottom