mose
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 422
- 395
HAPANAKwanza tumia capital letters kutaja jina la Mungu.
Mwanzo wa Mungu pia ndio mwanzo wa shetani, ambaye mwanzo alikuwa malaika, ndie alikuwa malaika mkuu 2nd in command baada ya Mungu.
Mungu ana nguvu na shetani ana nguvu, ila nguvu za Mungu ni kubwa zaidi ya nguvu za shetani kwa mambo mawili tuu, creation of life, and taking back the life, lakini vitu vingine vyote, everything God can do, the devil can do!.
Shetani alipoasi alifukuzwa tuu mbinguni lakini alibaki na nguvu zake zote. God ananguvu kuliko shetani lakini hawezi kumuangamiza shetani!.
Shetani ni mzuri sana kwa kuji disguise hivyo alipoingia bustani ya Aden kum tempt Eva, alijigeuza nyoka akapenya bustanini, kule akajigeuza mtu, ndipo akamshawishi Eva kula lile tunda, kwa kumuonyesha kwa practical kabisa jinsi tunda linavyochumwa, linavyo megwa, akammegea Eva, Eva na shetani wakala tunda.
Baada ya Eva kuuonja utamu wa tunda, akampelekea Adamu tunda, akamfundisha tunda linavyomegwa. Adam akamkatatalia kula tunda lililokatazwa na Mungu. Eva akamlazinisha, Adamu akakubali kumega tunda, hao... wakaishia zao uzingizini!.
Shetani akasepa zake.
Hata sasa Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.
P
Si busara kumpangia mtu tabia ya kujidhihirisha ama kudhihirisha mambo--bora kuonesha mfano bora wa mwenendo wa kujichagulia, mengine waachie wadau waamue wenyewe...
'Mungu' ama 'mungu' ni maneno tu kuwasilishia dhana na fikra... fikra zaweza kuwa hoja ama viroja; mawaidha yanaweza kuwa porojo ama 'Uono Fasaha'--Inategemeana na utatu wa 'vina vya tafsiri', 'Dhamira' na 'Uono na Ufikirifu Mifumo'...
Muanzisha wa huu uzi ameleta tu hoja ya mjadala...
Kuna namna ya kudadavua msingi wa utata wake wa urazini na kuhoji; lakini haimaanishi kama mjadala una 'tija' kiroho...
Tuwe na Subira kidogo na tuombe kheri, siku si nyingi swali la huyu mdau litapatiwa ufumbuzi na mwangaza... Japo ni safari ni ndefu kidogo, kuyaweka sawa yale yote ya imani, tumaini na upendo...
Kwa upande mwingine mzaha una 'katisha stimu' ya umakini... Utani vile vile...
Waliokuwa na mizaha na utani, na tena wenye kuwa na shilingi/talanta lakini inatumika vibaya, wanaweza kujizungusha kwenye ubatili hata kama shahidi za ufunuo zipo; lakini 'mguso ukiwafikia' wanaweza kujisahihisha...
Ni vema iwepo dhamiri ya 'Nuru ya Ufahamu' -- hii itatuondoa kwenye fikra za kitumwa, kutuweka katika wanda sahihi za kutambua asili za mambo, shughuli na taasisi zetu; kutambua, kujitambua na kutambuliwa...
Hmmm