Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

Energy haiwezi kutengenezwa au kuharibiwa sawa. Lakini energy yenyewe ilitoka wapi ? Au Jua lilitokea kutoka wapi ?
Haikutoka popote pale.

Hakuna wakati wowote ule ambapo energy haikuwepo kisha ikawepo from nothing.

Energy ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na sehemu kilipo toka, Basi hata hizo sehemu zilipotoka zitahitaji sehemu zingine zilipotoka.

Yani pasiwepo sehemu yeyote ile iliyo exist yenyewe tu pasipo kutoka sehemu fulani.

Yani kutakuwa na sehemu nyingi zisizo na mwisho, endless.
 
Kama ni mambo ya kibinadamu, wewe ulijuaje na unathibitishaje kuna mambo ya Mungu?
MUNGU ni suala la kiimani. Najua kuna mambo ya MUNGU sababu nimechagua kuamini hivyo.
Huoni kwamba unafosi mawazo yako uchwara yasiyo na mantiki wala uthibitisho wowote ule?
Mawazo yakiwa yangu hayafosiwi kuwa yako. Umezungumza uongo.
Ukuu wa Mungu ni nini?
Uumbaji.
Kwa nini sio ukuu wa ulimwengu?
Pia sioni tatizo ukiyatambua maisha kwa mfumo huu. Nina rafiki anayeamini kuwa ukijumlisha kila kitu ulimwenguni ukakiweka kwenye umbo moja huyo ndiye MUNGU. Kwamba kila ukiaonacho ni sehemu ya MUNGU ukiwemo wewe.
Hakuna uhusiano wa huyo Mungu na ulimwengu.
Kwanini?
Huyo Mungu ni dhana uchwara tu kuhalalisha mambo usiyo yaelewa.
Mambo nisiyoyaelewa wewe umeyaelewa bila hiyo dhana? Maana watu msio amini kuhusu MUNGU huwa mna theory ya kijinga kweli, mnajua tunaoamini MUNGU tunaamini sababu kuna maswali hatuna majibu yake, nyinyi mnakuja bila majibu huku mkitaka tufanane na nyinyi. Mbadala wa imani ya MUNGU ni nini?
Hata wewe unavyo fosi huyo Mungu awe ndio muumbaji wa ulimwengu ni Chaos...
Umetaka tumjadili MUNGU, tunamjadili, kufosi inatoka wapi?

Chaos ni plan yako ya kutokufa uishi kwa raha au uzaliwe newyork ndo uthibitishe ukuu wa MUNGU.
Hakuna ulazima wa uhusiano wa huyo Mungu na ulimwengu.
Ulazima upo, ulimwengu una mauti tusiyojua ni nini, ulimwengu hatujui imekuaje ukawepo. Haya mambo ndo yanatufanya tuamini yupo MUNGU chanzo cha yote aijuaye siri ya mauti. Hutaki tuamini hilo njoo na mbadala.
 
Bwn Pasco nimekuelewa ila kuna sehemu unatuacha. Hv hapo kwenye kumega tunda unamaanisha Adamu alimpiga miti Eva!?

Kama hivyo ndivyo basi ina maana Eva alianza kupigwa miti na nyoka

Daah dini ngumu wacha nikale zangu beer
Tumia lugha ya picha na kuongea kwa tafsida, mti wa katikati ni ule mti na tunda ni lile tunda la kumegwa, kula tunda ndio kumegwa.

Shetani baada ya kuingia bustanini kama nyoka, akajigeuza mtu, akamfundisha Eva jinsi ya kumega tunda, akamega.

Mtoto wa kwanza wa Adam, Caini alizaliwa na roho ya biological Father wake, ndio maana alimuua Abel.

Bikira Maria pekee ndie alikingiwa dhambi ya asili kwa kupata mim.a kwa uwezo wa Roho Mtakatifu bila Tunda kumegwa!.

P
 
Haikutoka popote pale.

Hakuna wakati wowote ule ambapo energy haikuwepo kisha ikawepo from nothing.

Energy ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na sehemu kilipo toka, Basi hata hizo sehemu zilipotoka zitahitaji sehemu zingine zilipotoka.

Yani pasiwepo sehemu yeyote ile iliyo exist yenyewe tu pasipo kutoka sehemu fulani.

Yani kutakuwa na sehemu nyingi zisizo na mwisho, endless.
Wewe umejuaje kama hakuna wakati wowote ule ambapo energy haikuwepo hali umezaliwa juzi tu hapa ?
 
Kuna mtu alifundisha kuwa Shetani sio kiumbe.
Na kusema Shetani ni matendo maovu.
Akasisitiza kuwa Shetani anaweza kuwa mtu au Jini.

Sasa wewe unamzunguzia nani kati ya Shetani mtu au Shetani Jini ?
 
BASI HATA WEWE TUKUPE MAUA YAKO UNAKOSEA MARA NGAPI MUNGU ANAKUANGALIA TU.

MUNGU HASHINDWI LABDA KAMA SIO MUNGU ANAE TENDA KAZI KWA MWANAE YESU KRISTO.

MUNGU NI MWENYE HAKI NA YEYE HASIRA YAKE INAENDA HATUA KWA HATUA

ILI SIKU ATAKAPO KUJA KUTOA HUKUMU HATA SHETANI AKOSE CHA KUJITETEA

HASIRA ZA MUNGU SIO KAMA ZA MWANADAM KWAMBA UKIMKASILISHA HUKUMU INATOKA HAPO HAPO HILO SAHAU MJOMBA.
 
Haiwezekani mbinguni au katika ulimwengu tusiojua wanaishi viumbe wawili wanaoogopana. Sasa tutajua nani mwenye nguvu?

Inasemekana shetani ni mbaya kama alivyotukalilishwa na Mungu lakini inakuwaje Mungu ashindwe kumuangamiza kama kweli Mungu hashindwi chochote?

Hata wachungaji/mapadre wenyewe hawataki shetani aangamizwe mana watakosa cha kutuhubiri ili kupiga hela. Kwa maana nyingine shetani kawapa ulaji wachungaji. Siku akitoweka tu mapdre/ maskofu / wachungaji watakufa njaa maana watakosa cha kutudanganya.
Mhhh
 
MUNGU ni suala la kiimani. Najua kuna mambo ya MUNGU sababu nimechagua kuamini hivyo.

Mawazo yakiwa yangu hayafosiwi kuwa yako. Umezungumza uongo.

Uumbaji.

Pia sioni tatizo ukiyatambua maisha kwa mfumo huu. Nina rafiki anayeamini kuwa ukijumlisha kila kitu ulimwenguni ukakiweka kwenye umbo moja huyo ndiye MUNGU. Kwamba kila ukiaonacho ni sehemu ya MUNGU ukiwemo wewe.

Kwanini?

Mambo nisiyoyaelewa wewe umeyaelewa bila hiyo dhana? Maana watu msio amini kuhusu MUNGU huwa mna theory ya kijinga kweli, mnajua tunaoamini MUNGU tunaamini sababu kuna maswali hatuna majibu yake, nyinyi mnakuja bila majibu huku mkitaka tufanane na nyinyi. Mbadala wa imani ya MUNGU ni nini?

Umetaka tumjadili MUNGU, tunamjadili, kufosi inatoka wapi?

Chaos ni plan yako ya kutokufa uishi kwa raha au uzaliwe newyork ndo uthibitishe ukuu wa MUNGU.

Ulazima upo, ulimwengu una mauti tusiyojua ni nini, ulimwengu hatujui imekuaje ukawepo. Haya mambo ndo yanatufanya tuamini yupo MUNGU chanzo cha yote aijuaye siri ya mauti. Hutaki tuamini hilo njoo na mbadala.
Hukatazwi kuwa na imani za huyo Mungu, ila Ukianza kudai imani zako zina ukweli lazima uthibitishe hilo.

Sio stori uchwara uchwara tu.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wewe umejuaje kama hakuna wakati wowote ule ambapo energy haikuwepo hali umezaliwa juzi tu hapa ?
Hakuna uthibitisho wowote ule uliothibitisha kwamba energy haikuwepo kisha ikawepo.

Kwa hiyo kinachofahamika na kuthibitishika ni kwamba energy ilikuwepo, tumeikuta ipo na itaendelea kuwepo.

Mpaka pale kutakapokuwa na uthibitisho kwamba energy haikuwepo, ndipo itakubalika hivyo.

Ila hakuna anaye jua energy ilianzaje
 
Mithali ya wapi tena. Hivi unajua biblia siyo kitabu cha Mungu. Ni ujanja wa akina paulo tu kihadaa ulimwrngu. Wapi. Mungu alisema biblia ni maneno yake saidi ya kuandikwa na kutungwa na watu Yesu mwenyewe haitambui biblia na hajasema popote muisome. Nioneshe ni wapi yesu alisema msome biblia

Zaburi 14:1a

"Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu"

BORA kua mjinga kulikua kua mpumbavu , upumbavu ni hali HATARI sana NDANI ya MTU


Ujinga ni kukosa taarifa SAHIHI, Kwaiyo ni rahisi Sana kumuelimisha mjinga lakini mpumbavu ni MUNGU mwenyewe ndie awezae KUMBADILISHA
 
Zaburi 14:1a

"Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu"

BORA kua mjinga kulikua kua mpumbavu , upumbavu ni hali HATARI sana NDANI ya MTU


Ujinga ni kukosa taarifa SAHIHI, Kwaiyo ni rahisi Sana kumuelimisha mjinga lakini mpumbavu ni MUNGU mwenyewe ndie awezae KUMBADILISHA
Zabari kutoka wapi? Nani kakwambia biblia ni mameno ya mungu?
 
Tumia lugha ya picha na kuongea kwa tafsida, mti wa katikati ni ule mti na tunda ni lile tunda la kumegwa, kula tunda ndio kumegwa.

Shetani baada ya kuingia bustanini kama nyoka, akajigeuza mtu, akamfundisha Eva jinsi ya kumega tunda, akamega.

Mtoto wa kwanza wa Adam, Caini alizaliwa na roho ya biological Father wake, ndio maana alimuua Abel.

Bikira Maria pekee ndie alikingiwa dhambi ya asili kwa kupata mim.a kwa uwezo wa Roho Mtakatifu bila Tunda kumegwa!.

P
Nimekuelewa Pasco. Shukran
 
Haiwezekani mbinguni au katika ulimwengu tusiojua wanaishi viumbe wawili wanaoogopana. Sasa tutajua nani mwenye nguvu?

Inasemekana shetani ni mbaya kama tulivyokalilishwa na Mungu lakini inakuwaje Mungu ashindwe kumuangamiza kama kweli Mungu hashindwi chochote?

Hata wachungaji/mapadre wenyewe hawataki shetani aangamizwe mana watakosa cha kutuhubiri ili kupiga hela. Kwa maana nyingine shetani kawapa ulaji wachungaji. Siku akitoweka tu mapdre/ maskofu / wachungaji watakufa njaa maana watakosa cha kutudanganya.
Mungu na Shetani ni wahusika katika hadithi ya kutungwa na watu.

Nje ya hiyo hadithi, hakuna Mungu wala Shetani.
 
Haiwezekani mbinguni au katika ulimwengu tusiojua wanaishi viumbe wawili wanaoogopana. Sasa tutajua nani mwenye nguvu?

Inasemekana shetani ni mbaya kama tulivyokalilishwa na Mungu lakini inakuwaje Mungu ashindwe kumuangamiza kama kweli Mungu hashindwi chochote?

Hata wachungaji/mapadre wenyewe hawataki shetani aangamizwe mana watakosa cha kutuhubiri ili kupiga hela. Kwa maana nyingine shetani kawapa ulaji wachungaji. Siku akitoweka tu mapdre/ maskofu / wachungaji watakufa njaa maana watakosa cha kutudanganya.
Mungu anataka umwamini kwanza ndio atende
 
Mithali ya wapi tena. Hivi unajua biblia siyo kitabu cha Mungu. Ni ujanja wa akina paulo tu kihadaa ulimwrngu. Wapi. Mungu alisema biblia ni maneno yake saidi ya kuandikwa na kutungwa na watu Yesu mwenyewe haitambui biblia na hajasema popote muisome. Nioneshe ni wapi yesu alisema msome biblia
Wewe una akili sawasawa lakini? Basi sasa kama huamini kuna neno la Mungu, ni wapi unapata wazo la uwepo wao hadi kuona kwamba wanaweza kushindana hadi mmoja kushindwa au kushinda, bangi unazovuta zimekupa hilo wazo?
 
Wewe una akili sawasawa lakini? Basi sasa kama huamini kuna neno la Mungu, ni wapi unapata wazo la uwepo wao hadi kuona kwamba wanaweza kushindana hadi mmoja kushindwa au kushinda, bangi unazovuta zimekupa hilo wazo?
Neno nitalipata kwa Mungu siyo maneno ya paulo na wenzake
 
Back
Top Bottom