Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Shetani hauliwi kwasababu mwanzo wa Mungu ndio mwanzo wa shetani.Haya turudi kwenye mada
Kwanini shetani hauliwi?
#YNWA
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani hauliwi kwasababu mwanzo wa Mungu ndio mwanzo wa shetani.Haya turudi kwenye mada
Kwanini shetani hauliwi?
#YNWA
Kwanini?Mungu hayupo
Uwezo wa kuwa muovu, Binadamu aliupata wapi?MUNGU kaumba dunia tupu, akumba mfumo wa kuyawezesha maisha kuwepo. Uovu ni wa binadamu.
Kwa nini majanga hayo yawepo?Dunia lazima ifanye kazi kwa mfumo. Umetengeneza gari, ili litembee si ni lazima vyuma visagane?
Freewill tunayo sababu baada ya kuzaliwa nature ilitupa akili ya namna ya kukabiliana na majanga.
Nakwambia hivi hiyo free will haipo.Baharini kuna dhoruba ila binadamu tunajenga nyumba zinazoelea na tunaifuatuata dhoruba.
Hayati Mzee Mwinyi alisema maisha ni Hadithi 🙄 lakini mimi nadhani maisha ni Mtihani 😳🤠🤠Hakuna mtihani usiokuwa na maswali ambayo yanahitaji yajibiwe ili mtu afaulu au afeli 👁🙄
Nani yupo badala yake ??Mungu hayupo
Basi huyo MUNGU ni muovu, mkatili na mjinga sana.Kwanini shetani anatakiwa kuuwawa boss? Binafsi naona uwepo wa shetani ni mpango wa MUNGU tena aliujua wakati wa uumbaji na akauruhusu.
Ulimwengu ndio upo.Nani yupo badala yake ??
Bwn Pasco nimekuelewa ila kuna sehemu unatuacha. Hv hapo kwenye kumega tunda unamaanisha Adamu alimpiga miti Eva!?Kwanza tumia capital letters kutaja jina la Mungu.
Mwanzo wa Mungu pia ndio mwanzo wa shetani, ambaye mwanzo alikuwa malaika, ndie alikuwa malaika mkuu 2nd in command baada ya Mungu.
Mungu ana nguvu na shetani ana nguvu, ila nguvu za Mungu ni kubwa zaidi ya nguvu za shetani kwa mambo mawili tuu, creation of life, and taking back the life, lakini vitu vingine vyote, everything God can do, the devil can do!.
Shetani alipoasi alifukuzwa tuu mbinguni lakini alibaki na nguvu zake zote. God ananguvu kuliko shetani lakini hawezi kumuangamiza shetani!.
Shetani ni mzuri sana kwa kuji disguise hivyo alipoingia bustani ya Aden kum tempt Eva, alijigeuza nyoka akapenya bustanini, kule akajigeuza mtu, ndipo akamshawishi Eva kula lile tunda, kwa kumuonyesha kwa practical kabisa jinsi tunda linavyochumwa, linavyo megwa, akammegea Eva, Eva na shetani wakala tunda.
Baada ya Eva kuuonja utamu wa tunda, akampelekea Adamu tunda, akamfundisha tunda linavyomegwa. Adam akamkatatalia kula tunda lililokatazwa na Mungu. Eva akamlazinisha, Adamu akakubali kumega tunda, na kutokana na utamu wa tunda, Adam na Eva wakaishia zao uzingizini!.
Shetani akasepa zake.
Walipoamka, wakaanza kuona noma!, ndipo Mungu akamuadhibu Eva, atazaa kwa uchungu kufidia utamu wa tunda, na hiyo dhambi ya kumega tunda, ndiyo dhambi ya asili, ili binadamu azaliwe, lazima kwanza dhambi ya asili itendwe ndipo mi.ba itunge!. Kuna binadamu mmoja tuu aliyekingiwa dhambi ya asili, ni Bikira Maria, alipata mi.ba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
Hata sasa Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.
P
Watu walianza kuchipua kama mimea au walianzaje ??Ulimwengu ndio upo.
Ulimwengu ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo.
Watu hawakuanza.Watu walianza kuchipua kama mimea au walianzaje ??
Kwanini unampa hili jukumu MUNGU? Binadamu anazaliwa akiwa mwema, tunawaita malaika, anapokomaa anauchagua uovu ilihali anaweza kuuchagua wema, kwanini hii lawama apewe MUNGU?Uwezo wa kuwa muovu, Binadamu aliupata wapi?
Mungu mjuzi wa vyote, Hakujua kwamba binadamu atakuja kuwa muovu amdhibiti na kumzuia mapema?
Hivi unajua kuna viumbe ili viishi sharti ipite dhoruba? Tatizo binadamu tunataka ulimwengu uwe sehemu ya binadamu na si binadamu sehemu ya ulimwengu.Kwa nini majanga hayo yawepo?
Mungu huyo kwa nini aumbe Dunia yenye majanga ilhali uwezo wa kuumba dunia isiyo na majanga alikua nao?
Suala la Freewill nimeshaona unalifananisha na chaos. Yaani unataka chaos ndo iwe free will. Si haki kwa wengine. Mfumo uliopo freewill ipo. Freewill bila ukomo ni chaos.Nakwambia hivi hiyo free will haipo.
Concept ya free will ni stori uchwara uchwara tu za kuhalalisha Mungu asiyekuwepo.
Kwa sababu ninyi mnadai tuliumbwa na huyo Mungu mjuzi wa vyote na mwenye uwezo wa yote.Kwanini unampa hili jukumu MUNGU? Binadamu anazaliwa akiwa mwema, tunawaita malaika, anapokomaa anauchagua uovu ilihali anaweza kuuchagua wema, kwanini hii lawama apewe MUNGU?
Sisi ni sehemu ya ulimwengu.Hivi unajua kuna viumbe ili viishi sharti ipite dhoruba? Tatizo binadamu tunataka ulimwengu uwe sehemu ya binadamu na si binadamu sehemu ya ulimwengu.
Kwa Mungu mnayedai ni muweza wa vyote, Hakutakiwi kuwepo chochote kinacho mshinda au kitakacho mshinda.Nimekupa mfano mwepesi boss, Unaweza kuunda gari linalotembea ila hakuna msuguano wa vyuma? Yaani engine ifanye kazi ila kwenye chamber zake pasitokee milipuko na joto kali inayochakaza valve.
Kwa Mungu muweza wa vyote, Lazima angekuwa na mifumo mingi ya kuendesha dunia na hatakiwi kuwa limited na mfumo mmoja tu wa kuendesha maisha.Hiyo dunia isiyo na upepo mkali, jua kali, matetemeko itaruhusu uwepo wa maisha ya viumbe? Au ili maisha yawepo sharti mfumo uruhusu uwepo wa hivi vitu?
Nakwambia tena hivi, Free will Haipo.Suala la Freewill nimeshaona unalifananisha na chaos. Yaani unataka chaos ndo iwe free will. Si haki kwa wengine. Mfumo uliopo freewill ipo. Freewill bila ukomo ni chaos.
Kwanini amzuie na amdhibiti? Kwani ni kazi ya MUNGU kuzuia ufisadi? Wizi? Si mambo ya binadamu hayo?Kwa sababu ninyi mnadai tuliumbwa na huyo Mungu mjuzi wa vyote na mwenye uwezo wa yote.
Kama Mungu huyo ni mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je Hakujua na ku notice kwamba binadamu ataweza kuwa muovu amdhibiti na kumzuia mapema?
Sasa tatizo lipo wapi? Unataka kuishi milele kwa raha ndo uuone ukuu wa MUNGU? Ukuu wa MUNGU unapimwa kwa mfumo perfect kwa viumbe wote si mfumo perfect kwa mwanadamu, Kama binadamu ni sehemu ya ulimwengu heshimu na kaa sehemu yako ukihama mfumo unakutema. Huo ni mfumo perfect kabisa unaothibitisha ukuu wa MUNGU.Sisi ni sehemu ya ulimwengu.
Ndio maana binadamu hufa naku uacha ulimwengu.
Ulimwengu ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo.
Kwa Mungu mnayedai ni muweza wa vyote, Hakutakiwi kuwepo chochote kinacho mshinda au kitakacho mshinda.
Elewa maana ya mfumo. Kwa ninavyoiona dunia ni lazima iwe kama ilivyo ili iwepo na iwe fair kwa viumbe vyake, kuanzia binadamu mpaka bakteria.Sisi binadamu hatuwezi vyote ndio maana bado tunapambana kujua vitu vyote.
Ila kwa Mungu huyo muweza wa vyote, Kushindwa kuumba Dunia isiyo na matatizo wala uovu ni makusudi kabisa.
Kuweza yote maana yake ni nini? Kwamba ili awe muweza yote ni lazima wewe upate yote mazuri?Otherwise, Huyo Mungu na yeye hawezi yote kama sisi.
Una elewa lakini?
Tunarudi pale pale, huu mfumo ni perfect kwa viumbe vyote. Kwanini unataka uwe perfect kwako ndo awe muweza wa vyote?Kwa Mungu muweza wa vyote, Lazima angekuwa na mifumo mingi ya kuendesha dunia na hatakiwi kuwa limited na mfumo mmoja tu wa kuendesha maisha.
Maana yeye si ni Mungu muweza wa vyote?
Ukikaa angani radi, msugano, miale ya jua n.k iondolewe ili awe muweza wa vyote au ibaki? Yaani naona kama unataka ulimwengu uwe sehemu yako ili kuthibitisha ukuu wa MUNGU, kwanini? Wewe ni sehemu ya ulimwengu.Anaweza hata kuumba dunia tukaelea angani na kulala hewani.
Kwa nini unadhani mfumo huu huu mmoja ndio Mungu alikuwa lazima autumie?
Kwa unavyotaka wewe haiwezekani, ni chaos.Nakwambia tena hivi, Free will Haipo.
Neno Catholic ( Katoliki ) lina maanisha ulimwengu na wakatoliki wanaamini Mungu ndiye anauendesha ulimwengu.Ulimwengu ndio upo.
Ulimwengu ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo.
Okay 👍Watu hawakuanza.
Hakuna wakati ambao kulikuwa hakuna watu, kisha watu wakaanza kuwepo from nothing.
Watu walikuwepo, wapo na wataendelea kuwepo.
Sisi ni Energy, We cannot be created or destroyed but we transform from one form to another.
Kama ni mambo ya kibinadamu, wewe ulijuaje na unathibitishaje kuna mambo ya Mungu?Kwanini amzuie na amdhibiti? Kwani ni kazi ya MUNGU kuzuia ufisadi? Wizi? Si mambo ya binadamu hayo?
Ukuu wa Mungu ni nini?Sasa tatizo lipo wapi? Unataka kuishi milele kwa raha ndo uuone ukuu wa MUNGU? Ukuu wa MUNGU unapimwa kwa mfumo perfect kwa viumbe wote si mfumo perfect kwa mwanadamu, Kama binadamu ni sehemu ya ulimwengu heshimu na kaa sehemu yako ukihama mfumo unakutema. Huo ni mfumo perfect kabisa unaothibitisha ukuu wa MUNGU.
Hakuna uhusiano wa huyo Mungu na ulimwengu.Elewa maana ya mfumo. Kwa ninavyoiona dunia ni lazima iwe kama ilivyo ili iwepo na iwe fair kwa viumbe vyake, kuanzia binadamu mpaka bakteria.
Kuweza yote maana yake ni nini? Kwamba ili awe muweza yote ni lazima wewe upate yote mazuri?
Mkuu, Ulimwengu ni mfumo, unaofanya maisha yaendelee kuwepo,
Mfano wewe unaweza kuweka chakula kwenye sinki la choo kichafu cha uma na ukakila ila hufanyi hivyo sababu unajua ukifanya hivyo kwa muda mfumo hautakuruhusu kuendelea na maisha bila kupata magonjwa.
Same case, kila kitu kilichopo kipo ili mfumo ufanye kazi, sasa wewe kwanini unataka kisiwepo ili kuthibitisha aliyeviweka ni muweza wa yote?
Tunarudi pale pale, huu mfumo ni perfect kwa viumbe vyote. Kwanini unataka uwe perfect kwako ndo awe muweza wa vyote?
Ukikaa angani radi, msugano, miale ya jua n.k iondolewe ili awe muweza wa vyote au ibaki? Yaani naona kama unataka ulimwengu uwe sehemu yako ili kuthibitisha ukuu wa MUNGU, kwanini? Wewe ni sehemu ya ulimwengu.
Hata wewe unavyo fosi huyo Mungu awe ndio muumbaji wa ulimwengu ni Chaos...Kwa unavyotaka wewe haiwezekani, ni chaos.
Kuamini kitu fulani kina endesha ulimwengu ni jambo rahisi sana.Neno Catholic ( Katoliki ) lina maanisha ulimwengu na wakatoliki wanaamini Mungu ndiye anauendesha ulimwengu.
Energy haiwezi kutengenezwa au kuharibiwa sawa. Lakini energy yenyewe ilitoka wapi ? Au Jua lilitokea kutoka wapi ?Kuamini kitu fulani kina endesha ulimwengu ni jambo rahisi sana.
Ila kuthibitisha kitu hicho ndicho haswa kinacho endesha ulimwengu ni kazi ngumu sana.
Huyo Mungu ni dhana uchwara tu kuhalalisha mambo ambayo binadamu hana majibu nayo.
Hakuna ukweli wowote kwamba Mungu ni muendesha ulimwengu.
Ni dhana uchwara tu waliyo pumbazwa watu vizazi kwa vizazi.