passion_Amo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2023
- 378
- 542
Ulijifunza kanuni za uandishi shuleni kweli?
Ina onekana hata kanuni za uandishi huzijui.
Bila shaka hata jina lako una lianza na herufi ndogo mwanzoni wa Aya.
Hakuna Mungu katika uhalisia.Nimesoma uzi mmoja wa Tycoon mmoja hapa Jf, anadai utafiti wake wa miaka 22 unaonesha Mungu wa walokole ndio ana nguvu kuliko Mungu anaeabudiwa na Madhehebu mengine.
Nimejaribu kuchunguza Mifumo wanayoitumia walokole wengi 100% katika ibada zao, maombi kiujumla huwa zimejaa kelele nyingi sana (elewa maana ya kelele wala sijadhihaki mtu)
Imefikia hatua wasipokua na umeme basi ibada huwa inapoa sana makanisani mwao.
Je, Bila kelele nyingi MUNGU hawezi kuinuka na kutetea watu wake dhidi ya shetani?
Hata mawazo ya kufikirika husemwa pia lakini hayapo katika uhalisia.
Kwahyo unataka kusema buibui mtu (spiderman) yupo?
Si unaona tayari mpaka jina analo?Kwahyo unataka kusema buibui mtu (spiderman) yupo?
Haya baibui hapo umesema Spiderman umesema anaonekana na amepewa jina je ushamuona wapi Mungu si amepewa jina yupo wapi ulishawahi kuonana nae sehemu yoyote?Mungu yupo na ndio maana tunamtaja hapa.. Kisichopo hakipo, hakina jina hakijulikani popote
Sent using Jamii Forums mobile app
Upepo hua unauona kwa macho au unauhisi tu?Je ni kila chenye jina/kilichopo ni lazima kionekane kwa macho yabisi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu nimekupa indirectly kwamba hakuna vingine vina majina Ila tuna uwezo wa kuvihisi km upepo, harufu, nk
Mungu si hisia Mungu ni nishatiKuna hisia nane za milango ya fahamu.. Kati ya hizo hakuna hata moja inayomtaja Mungu kama mmojawapo wa fahamu
Mungu si hisia Mungu ni nishati
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hata na wewe ulichoandika hapa "Umemsemea Mungu""Kwani we ni Mungu? Una uhakika gani Mungu ana mtazamo kama wako juu ya hizo unazoita kelele?
Je labda yeye haoni hicho unachoona wewe? Inawezekana kwako ni kelele kumbe kwake ni kawaida sana! Pengine kwake ni sauti ya chini kiasi hata hawasikii na anatamani hata waongeze sauti!
Zitakuwa kelele pale zinapokuwa si takatifu mbele zake! Kama ni za kinafiki hapo kweli ni kelele hata Kama wananena kimoyomoyo! Mawazo ya Mungu si sawa na mawazo ya mwanadamu! Wewe siyo Mungu, acha kumsemea Mungu!
Energy can not be destroy or created hivi nikikwambia wewe ukiliondoa hilo Gamba la mwili ndani yako kuna huyo unaesema au unaemuita ni Mungu utakataa?
Mbona Sasa ndicho unachofanya hapa, unamsemea MunguKwani we ni Mungu? Una uhakika gani Mungu ana mtazamo kama wako juu ya hizo unazoita kelele?
Je labda yeye haoni hicho unachoona wewe? Inawezekana kwako ni kelele kumbe kwake ni kawaida sana! Pengine kwake ni sauti ya chini kiasi hata hawasikii na anatamani hata waongeze sauti!
Zitakuwa kelele pale zinapokuwa si takatifu mbele zake! Kama ni za kinafiki hapo kweli ni kelele hata Kama wananena kimoyomoyo! Mawazo ya Mungu si sawa na mawazo ya mwanadamu! Wewe siyo Mungu, acha kumsemea Mungu!
Kwahyo yupo huyo kiumbe?
Bado hujagundua try again