Hivi Mungu anapenda kelele?

Hakuna Mungu katika uhalisia.

Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kwanini anataka tena hadi tumuombe??
 
Hujanijibu swali langu lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu nimekupa indirectly kwamba hakuna vingine vina majina Ila tuna uwezo wa kuvihisi km upepo, harufu, nk

Je! Umewahi kumhisi Mungu kwamba hapa nimekaa na Mungu au hapa naongea na Mungu Ila haumuoni?

Km vile ambavyo ukikaa karibu na kinyesi unahisi kabisa hapa kuna mtu amekunya
 
Mbona hata na wewe ulichoandika hapa "Umemsemea Mungu""

#YNWA
 
Mbona Sasa ndicho unachofanya hapa, unamsemea Mungu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…