Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Alikuwa Msukuma sema alikulia kwa bibi yake tu kule
 
Uyo ndo mungu aliewapora wamisri baraka zao.
 
Duu,umeanzisha uzi,ukauliza swali mwishowe ukajijibu mwenyewe. Hongera sana.
 
Swali halijauliza dini. Kama ni dini hata Ukristo haukuwepo. Swali limeuliza ni Mwarab au Myahudi? Umejibu kisichoulizwa. Uarab siyo Uislam,kwani wapo Waarab Waislam,Wakristo na wasioamini.
 
Alikuwa Mwibrania na sio Muislamu.
Hebrew and NOT Arab(Muibrania na siyo Mwarab)!

Swali halikuuliza dini. Limeuliza nasaba zake. Yaani Mwaafrika au Mzungu. Na siyo Mchaga au Muingereza.
 
Changanya na zako. Ndo kiki zenu siku hizi? Kwa hiyo wakati Ukristo unaanza wenyewe ulikuwa wapi?
Hakuna dini ukristo umetokana na jina la cheo cha mwana wa mariam Yesu. Masiah. Umasiha =ukristo kigiriki. Ufuasi wa mteule. Mteule mwenyewe ni muislam anaye abudu mungu mmoja elohi elohi Allah allah
 
This

is 100% truth. Ni afadhali uuamini na uchukue hatua kuliko kushikilia kejeli ulizorithishwa na waamini mashetani na majini mwisho ukutane na Yesu mbele ya hukumu. Maana imeandikwa, mbele ya yesu Kila goti litapigwa. Shauri lako
Yesu mwenyewe Alipigwa. Mi niko na mungu mwenyeenzi mwenye nguvu Yesu nabii kama manabii
 
Haya umeyatoa kitabu gani, Maana Qur'an haisemi hivyo usitumie kitabu cha Chinua Achebe ukauelezew Uislamu mkuu.
 
Nilidhani waislamu wanapoambiwa elimu ilipita mgongoni nilidhani uongo Kumbe kweli. Waislamu ni Shida elimu Hakuna na ht hekima ht kdg hakna. Waislamu kila jambo ni nguvu na kila jambo kwao ni hadithi za kukaririshwa
 
wapo wayahudi wengi waislam na wakati wa mtume mohamad wengi waliingia dini ya kiislaam nabii musa ni muislam manabii wote walikuwa waislam kwanza ujue nini maana ya uislam halafu soma quran sura inaitwa alimran mungu anasema hakika dini kwangu ni islam
 
uislam ulianza kwa nabii adam muhamad alikuja kuleta sheria na ni mtume wa mwisho
 
Umedadavua vƴema mkuu
 


Waarab ni kizazi kilicholaaniwa kwa sababu baba yao Ishmael alikuwa mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa. Avram (Abraham) alizaa Ishmael na yaya wake (beki tatu wake) aitwaye Hagar ambaye alikuwa Mmisri. Kwa wayaudi, mtoto wa pembeni anahesabiwa kuwa ni mtoto wa laana (forbidden child) na ndiyo maana myaudi hataki hata siku moja kutawaliwa na kizazi kilicholaaniwa. Hii ipo kwenye historia, ila watakuja watu wasiojuwa historia na kutaka kuniua mimi au kujiua wao wenyewe kwa kukata ukweli. All in all, hizi dini hazituhusu...sie tuliletewa tu kwenye maboti.....tuwaachie wenyewe waarab na wayaudi wapiganie dini zao.
 
dhabi haizai dhambi ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…