Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Nguzo za uislam ni 5

1) kuamini Mungu ni mmoja na manabii wake

2) Kuswali swala 5

3) Kutoa zaka

4) Kufunga ramadhani

5) Kwenda kuhijo Maka

Hizo nguzo zote Musa alizifanya Kwa jinsi alivyoelekezwa na Mungu

Taja unayotaka hapo nikuonyeshe jinsi Musa alivyo ifanya kupitia kitabu Cha Taurati
Nguzo namba 2,4 na 5
 
Nguzo namba 2,4 na 5
2) Kuswali/ kuabudu
Kuhusu kufanya Ibada Kwa nabii Musa hilo halina mjadala labda je alikuwa anaabudu vipi

Kutoka 34:8
Musa akafanya haraka, akainamisha kichwa chake hata nchi, akasujudu.
Kutoka 34:9
Akasema, Ikiwa sasa nimepata neema mbele zako, Bwana, nakuomba, Bwana, uende kati yetu, maana ni watu wenye shingo ngumu; ukasamehe uovu wetu na dhambi yetu, ukatutwae tuwe urithi wako.

3) kufunga
Kumbukumbu la Torati 9:9
Na hapo nilipokwea mlimani kwenda kuzipokea mbao za mawe, nazo ni mbao za agano BWANA alilofanya nanyi, ndipo nikakaa mle mlimani siku arobaini usiku na mchana; sikula chakula wala kunywa maji.

Yoeli 1:14
Takaseni saumu, iteni kusanyiko la dini, Wazee na wakusanye wenyeji wote wa nchi; Waende nyumbani kwa BWANA, Mungu wenu, Na kumlilia BWANA,

4) Kuhiji
Kumbukumbu la Torati 12:5
Lakini mahali atakapochagua BWANA, Mungu wenu, katika kabila zenu zote, apaweke jina lake, maana, ni makao yake, elekezeni nyuso zenu hapo, nawe wende huko;

Kumbukumbu la Torati 12:6
pelekeni huko sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu, na sadaka zenu za hiari, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ng’ombe na ya kondoo;
 
Moses was born to Israelite parents, Amram and Jochebed, who were slaves in Egypt. Both of his parents were Levite, meaning they were part of the tribe of Levi, the tribe later known as the tribe of the priesthood.
 
Nyinyi wagalatia mmedanganywa sana
Wewe unajua uislam umeanza lini?

Sio Musa tu Hadi Babu zake akina Ibrahim Isaka na Yakobo wote walikuwa waislam

Quran 2:132
- Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu.
Quran 2:133
- Je! Mlikuwapo yalipo mfikia Yaaqub mauti, akawaambia wanawe: Mtamuabudu nani baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu
wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is- hak, Mungu Mmoja tu, na sisi tunasilimu kwake.


Sasa kama Kuna mgalatia yoyote anaweza kutoa andiko katika kitabu chochote Cha Mungu litakalotaja dini ya Ibrahim Isaka na Yakobo kinyume na ilivuosema Quran kuwa walikuwa waislam aweke hapa hilo andiko

Na kama andiko hamuna jueni kuwa nyinyi mmedanganywa tena mmedanganywa mengi tu
Huna akili
 
Back
Top Bottom