Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Unaona sasa why uamini dini yako ndio ya kweli na za wengine ni uongo

Kila mtu anaamini dini yake ndio ya kweli hayo maneno hata kwa waabudu sanamu nao watakwambia walitokewa na hyo sanamu ikawaambia yeye ndio Mungu wa kweli..... Sasa kati yako wwe na wale nani mkweli?? How can we prove that ur religion is true and mine is fake

Tujifunze religious tolerance haya ya kusema Dini ya haki ni uislam nikikwambia uprove utaweza kwamba yalitoka kwa Mungu?? Mie naona huu mjadala mrahisi sana siku iitishwe kongamano dini zote alafu kila mtu aite mungu wake ashuke kama alivyofanya Nabii elia mjadala utaisha ila haya maneno maneno ya makaratasi sioni kama yatasaidia lolote
Ukiristo ni uongo na ni dini ya kupanga period !
 

Attachments

Basi kama kiba na diamond wamepotoka ndio hivyo hivyo hao wavaa uchi wanaoomba ''kikristo'' nao wamepotoka mbona its that simple!!!

Kwanini useme waislam hawana huo ujinga.... Hivi ina maana waislam wote nchi hii ni perfect!! Kikwete mbona alikuwa fisadi basi tuanze na huyo ingawa alijiita Al haj!!

Tusipende kufungamanisha madhaifu ya mtu mmoja na dini anayotokea..... Tufuate mafundisho yanavyosema tuyakosoe ila sio matendo ya mfuasi
Ukiristo ni uongo !
 

Attachments

Tukimsoma Amos 9:7
anasema
"You Israelites are just like the Ethiopians in my sight," says the LORD. "Certainly I brought Israel up from the land of Egypt, but I also brought the Philistines from Caphtor and the Arameans from Kir.
New Heart English Bible
Are you not like the children of the Ethiopians to me, children of Israel?" says the LORD. "Haven't I brought up Israel out of the land of Egypt, and the Philistines from Caphtor, and the Syrians from Kir?.

Anawambia waisrael wao ni sawa tu na wakush,
kama vile Mungu alivyowaleta waisrael toka egypt,ndivyo pia aliwaleta wafilist toka crete au wasyria toka kir,
wote kwake ni sawa tu,
kwani yeye ni mungu wa wote na wala si mungu wa kabila fulani pekee
 
Ukiristo ni uongo na ni dini ya kupanga period !
Haya mkristo naye akija hapa atasema uislam ni dini ya uongo!!! Je kutakalika hapa

Nlichosema ili hizi kelele ziishe ita kongamano madini yote mkusanyike hapo muite miungu yenu kma alivyofanya musa misri au elijah alafu mjadala uishe tumechoka na kelele zenu za udini humu
 
Ukiristo ni uongo !
Kwahiyo hizo swallah zinazopigwa pamoja na makaratasi ya kiarabu uliyoattach hapo ndio zinaprove uislam ni dini ya kweli?? Je mpagani nikisema hizo ziliandikwa na mtu flani tu utakataa?? Unaweza ukaprove zimetoka kwa Mungu??
 
Kwahiyo hizo swallah zinazopigwa pamoja na makaratasi ya kiarabu uliyoattach hapo ndio zinaprove uislam ni dini ya kweli?? Je mpagani nikisema hizo ziliandikwa na mtu flani tu utakataa?? Unaweza ukaprove zimetoka kwa Mungu??
Leta ishara kama hizi za kutoka dini yako !
 

Attachments

Leta ishara kama hizi za kutoka dini yako !
Nimeshasema hayo ni maneno tu... je mtu akisema imeandikwa na muhuni mmoja tu utakataa?? Unaweza thibitisha yametoka kwa Mungu??

Sasa unaulizwa kivp Mungu wako wa kweli we unanionyesha makaratasi ya muarabu so what!!
 
Nimeshasema hayo ni maneno tu... je mtu akisema imeandikwa na muhuni mmoja tu utakataa?? Unaweza thibitisha yametoka kwa Mungu??

Sasa unaulizwa kivp Mungu wako wa kweli we unanionyesha makaratasi ya muarabu so what!!
.....kwenye Biblia kumeandikwa nini ? Mazungumzo na mapambio !?
Biblia imeandikwa na muhuni gani ? ....Paulo ?
 
.....kwenye Biblia kumeandikwa nini ? Mazungumzo na mapambio !?
Biblia imeandikwa na muhuni gani ? ....Paulo ?
Wapi nmesema ukristo dini ya kweli?? Nachotaka ni ww uprove kuwa uislam ni dini ya kweli na sio hindu wala ukristo

Na uthithibitishe kutumia kijarida hicho cha kiarabu maana kila mtu anauwezo wa kuandika chochote na kikatumika kma muongozo wa dini

Leta ushahidi nje ya hicho kijarida
 
Wapi nmesema ukristo dini ya kweli?? Nachotaka ni ww uprove kuwa uislam ni dini ya kweli na sio hindu wala ukristo

Na uthithibitishe kutumia kijarida hicho cha kiarabu maana kila mtu anauwezo wa kuandika chochote na kikatumika kma muongozo wa dini

Leta ushahidi nje ya hicho kijarida
.....unaogopa kusema ukiristo ni dini ya kweli, huo pekee ni uthibitisho kuwa Uislaam ni dini ya kweli.
Tengeneza na wewe kijarida chako.
Walikuwepo wakanushaji kama wewe tokea enzi za Mitume, akina Musa, Daudi, Yesu, Ibrahim, Yusuf na wengineo, wote walikuwepo watu waliokuwa wakikanusha kama wewe.
Hivyo siwajibiki ku prove chochote kwako. Kimsingi ni wajibu wako kutafuta ukweli, na ndo maana ukapewa akili. Ila kama utaamua akili yako kuitumia tu kuendea chooni na kula, basi hiyo itabaki ni shida yako.
 
.....unaogopa kusema ukiristo ni dini ya kweli, huo pekee ni uthibitisho kuwa Uislaam ni dini ya kweli.
Tengeneza na wewe kijarida chako.
Walikuwepo wakanushaji kama wewe tokea enzi za Mitume, akina Musa, Daudi, Yesu, Ibrahim, Yusuf na wengineo, wote walikuwepo watu waliokuwa wakikanusha kama wewe.
Hivyo siwajibiki ku prove chochote kwako. Kimsingi ni wajibu wako kutafuta ukweli, na ndo maana ukapewa akili. Ila kama utaamua akili yako kuitumia tu kuendea chooni na kula, basi hiyo itabaki ni shida yako.
Hahhahaa mie nimesema uprove unaanza mapovu ya kidini hapa..... Hayo majarida kila dini inayo na kila jarida linaaminisha kuwa mungu anayeongelewa humo ndio Mungu original sasa what's the difference between ukristo,uislam na uhindu maana kila mtu anasema dini yake ni ya ukweli ssa nakuuliza HOW ntajua kuwa uislam ndio dini ya kweli na sio ukristo ama uhindu

Badala ya mapovu nielimishe
 
.....unaogopa kusema ukiristo ni dini ya kweli, huo pekee ni uthibitisho kuwa Uislaam ni dini ya kweli.
Tengeneza na wewe kijarida chako.
Walikuwepo wakanushaji kama wewe tokea enzi za Mitume, akina Musa, Daudi, Yesu, Ibrahim, Yusuf na wengineo, wote walikuwepo watu waliokuwa wakikanusha kama wewe.
Hivyo siwajibiki ku prove chochote kwako. Kimsingi ni wajibu wako kutafuta ukweli, na ndo maana ukapewa akili. Ila kama utaamua akili yako kuitumia tu kuendea chooni na kula, basi hiyo itabaki ni shida yako.
Kwanza acha upotoshaji hakuna ushahidi nje ya quran ama biblia kuwa Abraham alikuwa muislam Nachojua aligombana na mfalme nimrod kisa alipinga dini ya kuabudu masanamu na alikuwa akimuabudu YHWH sio Allah hata vitabu vya kipagani vinatambua hivo sasa cjui kupotosha kuwa alikuwa muislam unatoa wapi

And by the way Abraham baada ya kuzaliwa alifichwa mapangoni kwa shem kwa miaka 30 na baada ya hapo walikimbilia Canaan sasa unataka uniambie huo uislam aliukuta mapangoni?? Kumbuka baba yake abraham alikuwa muabudu masanamu je huo uislam aliupata wapi Abraham

Hata huko pangoni alifichwa na shem mtoto wa Nuhu je una ushahidi Shem alikua muislam???nachojua Shem pia alikua anamuomba Mungu wa kiebrania YHWH ssa uislam mna Mungu anaitwa YHWH au ndio kuforce mambo tu

Abraham hakuwahi kuwa muislam msipotoshe
 
Kuna dini ya kweli na dini za uongo, kuna dini ya haki na dini za baatwil, Uislaam umekuja kushinda dini zote !
Mwenyezi Mungu anasema 'Dini ya haki ni Uislaam'
We cant compromise.
mungu yupi!aisee hii mada naomba tusiiharibu kwa kukashifu na kutukana naomba tujikite kwenye hoja zenye mantiki.ni kweli kuna Mungu mmoja wa kweli na miungu mingi mamilion ya uongo,kuna dini moja ya kweli na kuna dini makumi za uongo.
Kuna maswali ya msingi tunayohitaji kujiuliza na kutafta majibu yake.je.katika uwing wa dini na miungu hapa ulimwenguni n Mungu yupi wa kweli?na dini ipi ya kweli?nitajuaje haya?
Pili je.Allah na Yahwe ni yule yule?kama sio yuleyule yupi ndie muumba wa kweli?kama ni yuleyule kwa nini sifa za Allah kwenye Quran zinatofautiana za YAHWE wa kwenye bibilia?
Yako maswali mengi sana ila me niishie hapo.narud
 
Sio kwel
The aramaic word for God in the assyrian christian language is Elaha or Alaha.

God for arab christian today
-Allah al ab=God the father
-Allah al ibn=God the son

-Allah al ru al quds=God the holly sprit.


Jesus before death called God=Elloh elloh.


Acient hebrew the most high God=El

arab for God Even before mohamad=Allah.

Actually tunaabudu mungu huyo huyo mmoja,tofauti ni namna tu tunavyomuabudu
SIO KWELI.MMOJA NI BANDIA.
 
Umeacha Kitabu cha Uislaam (Qur'an) kinachoelezea Uislaam, ukaamua kwenda kusoma vitabu vya historia ili uujue Uislaam !
Halafu una andiiiikaa !
TatiZo lako mkyu udini umekujaaa wakati hao walioileta hiyo din wanakuina ni fucken tu ndo maana si mzungu wala mwalabu anatuheshimu maana sisi hua hatutaki kujisumbua kufikiri hua tunaamini tu ...mfano mashuleni tunafundishwa tumetokana na manyani ila hao nyani ni waafrika tu wazungu wao sio
Je tumefanya juhudi gan kupinga hilo
 
TatiZo lako mkyu udini umekujaaa wakati hao walioileta hiyo din wanakuina ni fucken tu ndo maana si mzungu wala mwalabu anatuheshimu maana sisi hua hatutaki kujisumbua kufikiri hua tunaamini tu ...mfano mashuleni tunafundishwa tumetokana na manyani ila hao nyani ni waafrika tu wazungu wao sio
Je tumefanya juhudi gan kupinga hilo
Uislaam umejitosheleza, haujuandika kuwa tumetokana na manyani. Uislaam si wa mtu au kabila lolote you fucken !
Iq'rah bismirrabikk !
Soma....!
 
Uislaam umejitosheleza, haujuandika kuwa tumetokana na manyani. Uislaam si wa mtu au kabila lolote you fucken !
Iq'rah bismirrabikk !
Soma....!
Ww tatizo umekalili tu ila hufanyi uchunguzi uislam umeeanzishwa na Muhammad ila kwa kua we ni mfia din siwezi bishana na ww .Na km unaona waarabu ni bora kuliko sisi hujachelewa kaolewa huko na utumwa wako wa kukalilishwa upuuzi
 
Ww tatizo umekalili tu ila hufanyi uchunguzi uislam umeeanzishwa na Muhammad ila kwa kua we ni mfia din siwezi bishana na ww .Na km unaona waarabu ni bora kuliko sisi hujachelewa kaolewa huko na utumwa wako wa kukalilishwa upuuzi
FB_IMG_1517606419803.jpg
 
Back
Top Bottom