ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Kwa hiyo bila wanasayansi Kuproof we huamin !swali kwako je soda ya coca cola ilijitengeneza au ilitengenezwa ?jibuI really do not trust anything written in these bible books...all characters in these books are fictional....no scientific proof there is any person on this earth happen to be called Musa who climbed a mountain eti na kupokea 10 stupid commandments...
These are fictional characters at best....no rational man could believe these outlandish lies...
F**k the jews..liers.....with their stupid biblical god ambae ni mbaguzi wa kutupwa,muuaji,mwenye ghadhabu,muongo,asie na uwezo wowote proven...
Wendoumetupoteza KABISA,Musa alikua Muislamu wakati enzi zake huislam wala haujatazamiwa kuwepo ! Maana yake ujui ata Uislamu umeanza lini au ndokukalili kwa sababu ya neno Musa basi tayar ni Muislam ,ni vizr tusome na kuelewa badala ya kukalili au kukalilishwa.UYAHUDI ni dini sio kabila, na UARABU sio dini wala ukabila ila uasili kutokana na bara husika analotoka mtu, kwa hiyo usichanganye dini na ukabila kuwa kitu kimoja. Manabii wote walikuwa waislamu, Musa hakuwa MYAHUDI ila MUISLAMU wa huko Israel,
Jina: Nabii Musa
Dini: muislamu
kabila: Mlawi ( Kut 2:1-10; Eb 11:23; Mdo 7:17-22).
taifa: Mu-israel
Asili: Mwarabu wa Asia
Jina: Muhammad
Dini: Muislamu
Kabila: M-quraesh
taifa: Saudia Arabia
Asili: Mwarabu wa Asia
Teh teh teh.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]UYAHUDI ni dini sio kabila, na UARABU sio dini wala ukabila ila uasili kutokana na bara husika analotoka mtu, kwa hiyo usichanganye dini na ukabila kuwa kitu kimoja. Manabii wote walikuwa waislamu, Musa hakuwa MYAHUDI ila MUISLAMU wa huko Israel,
Jina: Nabii Musa
Dini: muislamu
kabila: Mlawi ( Kut 2:1-10; Eb 11:23; Mdo 7:17-22).
taifa: Mu-israel
Asili: Mwarabu wa Asia
Jina: Muhammad
Dini: Muislamu
Kabila: M-quraesh
taifa: Saudia Arabia
Asili: Mwarabu wa Asia
Muislaam wa kwanza Duniani ni Nabii Adam, kwa mujibu wa Qur'an. Na Uislaam umekamilika (kwa maana ya taratibu za sala na mambo mengine) wakati wa Muhammad SAW (katamatul Nabii) mwisho wa Manabii.Huyo Nabii Adam alifunga ramadhan?je alienda maka kuhiji?hebu nielezee alisali kibla kwa kuangalia wapi, je sala tano aliswali .....Swali jingine km Uislam ulikuwepo iweje manabii wengi watoke kwa watu ambao hawaujui uislam yaan waisraeli .
Wewe mgonjwa sana, uislam haukuwepo kabla ya kwenye 620 AD
Mnachanganya sana UYAHUDI v/s UISRAEL, Musa aliwakomboa wana wa Israel(Yakobo) kutoka Misri, alkuwa akiwafunza UYAHUDI lkn wengi waliukataa hata kufikia kuabudu sanamu ya Ng'ombe wakiwa njian tofaut na Imani ya kiyahudi waliokuwa wakifunzwa juu ya neema za Mungu mmoja aliewakomboa, Mungu aliabudiwa na MUSA na HARUN nduguye!!!Huhuuuuuuu am sorry kama MUSA naweza sema ni myahudi alizaliwa uhamishoni misri japo alilelewa katika mazingira ya kifalme pale. Alitumika kuja kuwakomboa wayahudi wakiwa misri.
Kwa hiyo bila wanasayansi Kuproof we huamin !swali kwako je soda ya coca cola ilijitengeneza au ilitengenezwa ?jibu
Umeacha Kitabu cha Uislaam (Qur'an) kinachoelezea Uislaam, ukaamua kwenda kusoma vitabu vya historia ili uujue Uislaam !Tatizo letu sisi waafrika ni wazembe wa kusoma jamani tusomeni vitabu vya history mbona tunahangaishana tu wwunakuta MTU katoa jicho kumuita mwenzie kafri na mwingine nae hakubali anamjibu we mwabudu majini achana na mm .....nk.Lakini tukija kuangalia history iko wazi kabisa nimesoma vitabu vingi sana vya history vinaelezea ukweli wa mambo hadharani ukristu ulianza lin na uislam ulianza lini.Sisi waafrica tunazalauliana kwa din hizi bila sababu yeyote maana km mabab zetu walizikwa na walioana bila hata dini na wakafanikiwa je kwa nn Leo mtu anakuja kutuhadaa kua eti ww bila kua muislam huoi mwanangu na mkristo hivo hivo.Kama tumefika mahala tunaitana majina ya ajabu basis hata sisi ni mzao wa makafiri na majini maana mababu zetu waliamin Miungu km ndo Mungu.Wachina wanadini zao tangu zamani na hata Wahindi je wamekufa kwa kuamini din hizo si ndo wamefanikiwa kuliko sisi wafia din zinazotubagua.Mm naona hayo mambo mengine tunachosha hakili tu We amin Mungu yupo na tenda mema full stop hayo mengine ni mbwembwe tu
Muislaam wa kwanza ni Nabii Adam, na Musa ameusiwa dini ile ile (ya Uislaam) kama walivyo usiwa Manabii wengine kabla na baada yake.Unajaribu kudanganya ili kufurahisha nafsi yako.Musa/moshe /moses/mose ni mwebrania/Lugha kwa kabila uko wa Lawi.Hakuwa muislamu kwa kuwa kwanza hiyo dini haikuwai kuwepo wakat wa maisha yake.wala hakuna ushahidi popote juu ya hilo.uislam umekuja miaka karb 2000 tangu Musa aishi.
Taifa la Israel lilikuwa na makabila/koo kumi na mbili wanaozungumza lugha moja kiebrania.wakiwa jamii(race)moja ya kiebrania.
Waebrania sio waarabu kama ilivyo kwa waajemi na wakurd.sio kila jamii iliyopo mashariki ya kati ni waarabu.
Uyahudi ni nn?
Kifupi hapo unasema Nabii Ibrahim alizini ! Au umemuweka Nabii Musa kundi moja na akina Mwingira na Kakobe !?Waarab ni kizazi kilicholaaniwa kwa sababu baba yao Ishmael alikuwa mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa. Avram (Abraham) alizaa Ishmael na yaya wake (beki tatu wake) aitwaye Hagar ambaye alikuwa Mmisri. Kwa wayaudi, mtoto wa pembeni anahesabiwa kuwa ni mtoto wa laana (forbidden child) na ndiyo maana myaudi hataki hata siku moja kutawaliwa na kizazi kilicholaaniwa. Hii ipo kwenye historia, ila watakuja watu wasiojuwa historia na kutaka kuniua mimi au kujiua wao wenyewe kwa kukata ukweli. All in all, hizi dini hazituhusu...sie tuliletewa tu kwenye maboti.....tuwaachie wenyewe waarab na wayaudi wapiganie dini zao.
Aya ni mawazo yakoTunaposema RACE ziko tatu tu mkuu CAUCASIANS, MONGOLOIDS NA NEGROIDS
Weupe wote wanaangakuia caucasians
Wekundu wote yaani wa asia na amerika ni mongoloids
Alafu watu weusi wote duniani ni Negroids
N hizi race zimeanzia kwa uzao wa Nuhu ambapo japhet ndio aliishi ulaya soma mwanzo 10 na ham ambaye negroid aliishia afrika pia Shem alibakia mashariki ya kati na asia
Hivyo kwa msingi huo wa biblia na kisayansi tunaona Waisraeli walizaliwa kupitia SHEM ambayo ni race ya SEMITE hawa ni waarabu kabisa hivyo musa ni muarabu kwa muonekano na hata waisraeli ni ''WAARABU'' sio Wazungu Yaani ARYANS
Acha kukisia mambo brotherLabda nikuskilize pia naweza jifunza kitu..... Unaweza prove kwamba waisrael sio familia moja na waarabu..... Hivi unafahamu Abraham alikuwa muarab pure kabisa !!!
Na kama hawana uhusiano kati ya waarab na waisraeli je reference yako ni ipi
Ukikosea kizombi[emoji83] lazima unyooshwe mana umepinda ballaa[emoji196]Yalishaisha siyo lazima uropoke hapa ungekuwa una akili na busara wala usingekuwa umejibu kama hivyo. Wenye akili siku zote Huwa wana ignore mambo.
Akijibu nitag..........huyo mungu alizaa na nani huyo mwanae !?
Wazungu sio waarabuAya ni mawazo yako
Nimekuuliza ki2 kimoja2
Wazungu ni waarabu???
Nani aliyekwambia ismael ndio mwanzo wa waarabu??? Waarab walikuwepo toka wakati wa NUHU waliishi huko mesopotamia walikuwepo kina Lud (minor asia yaani lebanon n.k)mpaka kina Ashuru (syria ya sasa) yupo Elam(Kuwait,saudia,UAE) wote walikuwa waarabu sasa ishmael kaanzisha uarabu toka lini?? Whats your reference.Acha kukisia mambo brother
Unaposema abraham ni muarabu unasema kwa maantiki ipi???
Abraham alizaa watoto wawili
-Ishmail (walipotokea waarabu)
-Isac(walipotokea waisrael)
Sa unapolazimisha vi2 cjui unatoa wapi vigezo vya kuongea
.....ujinga mwingi mnaupata kwenye Biblia.Mafundisho ya kurani hayawezi kujitosheleza bila kudesa ndani ya bibilia