Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,788
- 2,690
Uyahudi ni dini mkuu.Hakua Arab wala Jews!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyahudi ni dini mkuu.Hakua Arab wala Jews!
Huyu huu ujinga kautoa ndani ya BibliaSoma
Uelewe ujinga upo wzp
Teh teh tehHuyu huu ujinga kautoa ndani ya Biblia
Jamaa anapiga hela kwa jina la Yesuu !Soma
Uelewe ujinga upo wzp
Hayo sio mafundisho ya bibilia faza.huyo hana akili nzur.wap bible inaeleza hayo?Huyu huu ujinga kautoa ndani ya Biblia
Jamaa anapiga hela kwa jina la Yesuu !
Wajinga wanatoa hela kwa ajili ya ujinga !
Mjinga mwingine huyu kapeleka ujinga kanisani apige hela ! Kama ukiristo ni bora mbona anajipamba na Uislaam !?Teh teh teh
Hawa wanamuomba Yesu wakapige hela !
Mbwa wamefundishwa kumuomba Yesu !
Yesu ni mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa umbo la kibinadamu ili aukomboe ulimwengu.
tatizo ni uelewa wako.je bibilia inafundisha hayo?Mbwa wamefundishwa kumuomba Yesu !
Nikuulize wewe ! Hawa wanamuomba Yesu ili wapate pesa kwa kukaa uchi !Ta
tatizo ni uelewa wako.je bibilia inafundisha hayo?
Musa alikuwa Muisraeli tena wa uzao wa Lawi ambao ndiyo waliokuwa makuhani katika hekalu la maturubai . Uislamu umeanza miaka mia sita baada ya Ukristo kuanzia pale Antiokia. Wakati wa Musa, Uislamu haukuwepo, ila waarabu (wamidiani) walikuwepo na walikuwa wakiabudu miungu.
Hujielewi umepost wewe alafu uniulize mimi!!Nikuulize wewe ! Hawa wanamuomba Yesu ili wapate pesa kwa kukaa uchi !
Kwahiyo mkristo ni kila mtu anayeomba kikristo??? Kwahyo diamond anavyopiga sala kabla hajapanda stejini kucheza na mabinti nusu uchi naye tumtumie kukashifu uislam???Nikuulize wewe ! Hawa wanamuomba Yesu ili wapate pesa kwa kukaa uchi !
Umeongea facts ila nikusahihishe tu kidogo mkuu.... hagar alikuwa mweusi maana egypt kipindi hicho ilikuwa bado inakaliwa na watu weusi.acha kupotosha.waarabu walikuwepo hata kabla ya ismaeli kuzaliwa.mama yake hagar alikuwa wa kutoka misri,baada ya kufukuzwa ndipo akarudi kwao na ismael akakulia kwa wajomba zake.na si kweli kuwa kizazi cha ismael kililaaniwa.kumbuka mungu alimwambia mama yake ismael kuwa atambariki mtoto wake na kufanya kizazi chake kuwa taifa kubwa.kitu kingine hapa cha kuangalia ni kuwa baba yake ismail alikuwa muisrael,sasa itakuweje ismael awe muarabu tena?
Unaelewa maana ya neno ISLAMMusa alikuwa Muisraeli tena wa uzao wa Lawi ambao ndiyo waliokuwa makuhani katika hekalu la maturubai . Uislamu umeanza miaka mia sita baada ya Ukristo kuanzia pale Antiokia. Wakati wa Musa, Uislamu haukuwepo, ila waarabu (wamidiani) walikuwepo na walikuwa wakiabudu miungu.