Ww tatizo umekalili tu ila hufanyi uchunguzi uislam umeeanzishwa na Muhammad ila kwa kua we ni mfia din siwezi bishana na ww .Na km unaona waarabu ni bora kuliko sisi hujachelewa kaolewa huko na utumwa wako wa kukalilishwa upuuzi
Safi kabisa kwa swali hilo ngoja tusikilize kitacholetwa tena.Hahhahaa mie nimesema uprove unaanza mapovu ya kidini hapa..... Hayo majarida kila dini inayo na kila jarida linaaminisha kuwa mungu anayeongelewa humo ndio Mungu original sasa what's the difference between ukristo,uislam na uhindu maana kila mtu anasema dini yake ni ya ukweli ssa nakuuliza HOW ntajua kuwa uislam ndio dini ya kweli na sio ukristo ama uhindu
Badala ya mapovu nielimishe
Sana maana ndivyo ilivyo!!.Haya alikuwa mkristo msabato umefurahi?
.Qur an ipi inasema Yesu atauhukumu ulimwengu? Aya gani hiyo? Hebu tafuta Qur an yenye tafsiri halafu soma sura ya 19 (Mariam) huu ndio ukweli usiopingika kuhusu huyo unayemtaja. Qur an haikwekwesi wala haipindishi maneno na hakuna fumbo la imani katika hicho kitabu, ukitaka amini usipotaka endelea na imani yako ila usituletee hadithi za kufikirika humu
Ameuliza Mussa,Yesu ni mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa umbo la kibinadamu ili aukomboe ulimwengu.
Sasa mbona kuna watu wanasema alikuwa Muislam
Je unafahamu kuwa Musa alikuwa Muisraeli kutoka kabila la lawi?Kwa mujibu wa Uislamu Mussa (A.S) aliku ni muislamu.
Wanachoshindwa kufahamu watu wengine wasiokua waislamu ni kuwa wao wanahisi Uislamu umeletwa na Muhammad (S.A.W)
Kwa mujibu wa Uislamu Muhammad ni mtume wa mwisho katika mitume ya Allah. Na Mussa ni mmoja katika watume wa Mungu.
Je unafahamu kuwa Musa alikuwa Muisraeli kutoka kabila la lawi?
Uislamu wake uko wapi kwa mujibu wa torati na waisraeli wenzake?Kuwa kwakwe Muisraeli hakumfanyi kutokuwa muislamu
Uislamu wake uko wapi kwa mujibu wa torati na waisraeli wenzake?
Je unajua torati iliandikwa na Musa na Musa alikuwa Muisraeli?torati ni kitabu cha kiislamu mkuu kama ilivyo Qur-an
Majibu ya kweli yapo ndani ya Quran kitabu pekee Cha Mungu kilichobaki Duniani ambacho akina makando kandoYaani muislam au mjewish(mjuda)?
Majibu tafadhili.
Update
Musa alikuwa ni muebrania(moja ya kabira la wayaudi)
Na aliwaongoza wayaudi kwenda israel kwa imani ya wayaudi. Yaan Mungu alietenanisha bahari na aliewalisha mda wote
Na ikumbukwe hakuna myaudi muislam
Na kihistoria alienzisha au kukuza uislam ni Mohammad na uislam haukuepo enzi hizo
Kuna wengine wanafika adi hatua ya kusema Adam alikuwa muislam. Cjui maantiki yao ni wap. Na upande wa kuchoma kondoo ili kuondolewa dhambi je??
Je unajua torati iliandikwa na Musa na Musa alikuwa Muisraeli?
Nguzo za uislamu kipindi Cha Musa zilikuwa ngapi?kuwa kwake muisraeli hakumuondoi kutokua muislamu.
Nyinyi wagalatia mmedanganywa sanawanakupotezea muda.. waulize Musa alizaliwa kipindi gani na uislamu umeanza lini? ni kama mashariki na kusini.. usipoteze muda wako kubishana na wanywa kahawa na stori zao.
Nguzo za uislamu kipindi Cha Musa zilikuwa ngapi?
Zitaje kama zipo?
Zifafanue kama zipo?
Na je nguzo hizo za uislamu enzi za zamani ni sawa na za sasa?
Nguzo za uislamu kipindi Cha Musa zilikuwa ngapi?
Zitaje kama zipo?
Zifafanue kama zipo?
Na je nguzo hizo za uislamu enzi za zamani ni sawa na za sasa?