Nakazia swali zuriSimu yako haina option ya block?
Hii ndio dawa ya kausha damu huo ni mtego ukijibu TU kibunda kinatembea shikilia hapohapoHivi mwanamke akiwa anakusumbua hivi na haumjibu chochote kila siku utafanyaje?
View attachment 2854663View attachment 2854663View attachment 2854663
Huyu mwanamke nilikuwa Naye kwenye relationship ila tatizo lake ni kausha damu, kitu kinachofanya nisimwamini sana, ndio maana sitaki mazoea naye.
Sasa amekuwa ananicheck karibia kila siku ila mimi nimeuchuna na hachoki kunicheck. Sasa nashindwa kumuelewa, nikijirudisha tu anaanza ukausha damu wake, nikipotea anakuwa hivyo, naombeni ushauri wenu.
Mkuu ni mwiko Kwa mwanaume kumlima MTU block au kumuweka blacklist hizi ni tabia za kikeKama ni kweli haumhitaji tena basi mzuie kukutafuta na kama ataendelea block namba yake.
Unless uwe unafurahia hiyo attention anayokupa, kuna njia nyingi sana za kulimaliza hilo. Hicho sio kitu cha kuomba ushauri.
Kausha damu hawezi kujifunzaNakushauri umsamehe Mkuu.
AMEJIFUNZA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Mngejuaje kuwa ana Khadija anayemzimia?Kama ni kweli haumhitaji tena basi mzuie kukutafuta na kama ataendelea block namba yake.
Unless uwe unafurahia hiyo attention anayokupa, kuna njia nyingi sana za kulimaliza hilo. Hicho sio kitu cha kuomba ushauri.
Hivi mwanamke akiwa anakusumbua hivi na haumjibu chochote kila siku utafanyaje?
View attachment 2854663View attachment 2854663View attachment 2854663
Huyu mwanamke nilikuwa Naye kwenye relationship ila tatizo lake ni kausha damu, kitu kinachofanya nisimwamini sana, ndio maana sitaki mazoea naye.
Sasa amekuwa ananicheck karibia kila siku ila mimi nimeuchuna na hachoki kunicheck. Sasa nashindwa kumuelewa, nikijirudisha tu anaanza ukausha damu wake, nikipotea anakuwa hivyo, naombeni ushauri wenu.
Point muhimu sana hiiSimu yako haina option ya block?
Kama analijua hilo kwann asimblock sasa.Kausha damu hawezi kujifunza
JobTrueTrue
Hivi kumbe wanaume pia hawajui wanataka niniInayo ila siwezi mblock maana namkubali mbaya ila tatizo lake ni ilo tu nililolisema hapo