Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
[emoji23][emoji23][emoji23]Thats the only option bro.unarohombaya sanaa
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Thats the only option bro.unarohombaya sanaa
Kumbe limoyo lako nado limemdondokea,sasa kwanini umekuja kuomba ushauri hapa?,Unatuchora eenhhh?!!.Inayo ila siwezi mblock maana namkubali mbaya ila tatizo lake ni ilo tu nililolisema hapo
😀Mkuu ni mwiko Kwa mwanaume kumlima MTU block au kumuweka blacklist hizi ni tabia za kike
Acha mwamba aendelee kufurahia attention anayopata kutoka Kwa kausha damu ila najua kuna siku mwamba ataingia matopeni akiwa na upwiru tena sio mbali very soon 😂
Kwisha kazi yako....Inayo ila siwezi mblock maana namkubali mbaya ila tatizo lake ni ilo tu nililolisema hapo
Ushamba tu😁Mn
Mngejuaje kuwa ana Khadija anayemzimia?
Hakuna ushauri utakaopewa hapa ukausikia,, acha kuchosha watuInayo ila siwezi mblock maana namkubali mbaya ila tatizo lake ni ilo tu nililolisema hapo
Kuna watu ni fahari watu kujua anatoka na naniUshamba tu😁
Kumbe jibu unalo sijui unataka ushauriwe nini tena wewe endelea kukaushwa hiyo damu ukifilisika akili zitarudiInayo ila siwezi mblock maana namkubali mbaya ila tatizo lake ni ilo tu nililolisema hapo
😀😀 Ndo maana sijibu maana nikijibu tu napigwa mizinga Kila dakika demu ni tapeli tapeli sana mara Sina vocha,mara Kodi,mara sijala mambo kibao yaani hakuna kupumzikaKumbe jibu unalo sijui unataka ushauriwe nini tena wewe endelea kukaushwa hiyo damu ukifilisika akili zitarudi
Sipo uko mkuu 😀😀Sina ushamba huo huo ushamba WA celebrity WA bongo ,uyo demu yupo mbali na mi nipo mbali nimewauliza maana simuelewi ananipiga vizinga balaa kama mtu ambaye anihitaji ila nisipompa attention ndo ivyo ndo maana simuelewi elewi akili yakeKuna watu ni fahari watu kujua anatoka na nani
Si umchane tu?Sipo uko mkuu 😀😀Sina ushamba huo huo ushamba WA celebrity WA bongo ,uyo demu yupo mbali na mi nipo mbali nimewauliza maana simuelewi ananipiga vizinga balaa kama mtu ambaye anihitaji ila nisipompa attention ndo ivyo ndo maana simuelewi elewi akili yake