Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
[emoji23][emoji23][emoji23]Thats the only option bro.unarohombaya sanaa
Kumbe limoyo lako nado limemdondokea,sasa kwanini umekuja kuomba ushauri hapa?,Unatuchora eenhhh?!!.Inayo ila siwezi mblock maana namkubali mbaya ila tatizo lake ni ilo tu nililolisema hapo
๐Mkuu ni mwiko Kwa mwanaume kumlima MTU block au kumuweka blacklist hizi ni tabia za kike
Acha mwamba aendelee kufurahia attention anayopata kutoka Kwa kausha damu ila najua kuna siku mwamba ataingia matopeni akiwa na upwiru tena sio mbali very soon ๐
Kwisha kazi yako....Inayo ila siwezi mblock maana namkubali mbaya ila tatizo lake ni ilo tu nililolisema hapo
Ushamba tu๐Mn
Mngejuaje kuwa ana Khadija anayemzimia?
Hakuna ushauri utakaopewa hapa ukausikia,, acha kuchosha watuInayo ila siwezi mblock maana namkubali mbaya ila tatizo lake ni ilo tu nililolisema hapo
Kuna watu ni fahari watu kujua anatoka na naniUshamba tu๐
Kumbe jibu unalo sijui unataka ushauriwe nini tena wewe endelea kukaushwa hiyo damu ukifilisika akili zitarudiInayo ila siwezi mblock maana namkubali mbaya ila tatizo lake ni ilo tu nililolisema hapo
๐๐ Ndo maana sijibu maana nikijibu tu napigwa mizinga Kila dakika demu ni tapeli tapeli sana mara Sina vocha,mara Kodi,mara sijala mambo kibao yaani hakuna kupumzikaKumbe jibu unalo sijui unataka ushauriwe nini tena wewe endelea kukaushwa hiyo damu ukifilisika akili zitarudi
Sipo uko mkuu ๐๐Sina ushamba huo huo ushamba WA celebrity WA bongo ,uyo demu yupo mbali na mi nipo mbali nimewauliza maana simuelewi ananipiga vizinga balaa kama mtu ambaye anihitaji ila nisipompa attention ndo ivyo ndo maana simuelewi elewi akili yakeKuna watu ni fahari watu kujua anatoka na nani
Si umchane tu?Sipo uko mkuu ๐๐Sina ushamba huo huo ushamba WA celebrity WA bongo ,uyo demu yupo mbali na mi nipo mbali nimewauliza maana simuelewi ananipiga vizinga balaa kama mtu ambaye anihitaji ila nisipompa attention ndo ivyo ndo maana simuelewi elewi akili yake