Hivi Mwanamke akiwa Mzuri ndio Tiketi ya Kuwa Mdangaji?

Hivi Mwanamke akiwa Mzuri ndio Tiketi ya Kuwa Mdangaji?

Kuhusu vipindi vigumu ni kweli ndomana mwaka jana na mwaka huu taarifa nyingi za girls wanaofanya porn kufariki au kujiua zimekua ni nyingi mno hua wanakuja kupata depression za hatari.
Hizo report za kujiua zimetolewa Bongo au huko mbele?
 
Shida ni nini lakini
Vijana wengi hawana ajira na dada zetu wanataka maisha yanayoeleweka hivyo option inakuwa ni kuamua kudanga tu pitia kwenye club kubwa hapa mjini uone wale madem wahudumu maisha wanayoishi ni ya juu sana kwanzia mavazi hadi kula kwao
 
Vijana wengi hawana ajira na dada zetu wanataka maisha yanayoeleweka hivyo option inakuwa ni kuamua kudanga tu pitia kwenye club kubwa hapa mjini uone wale madem wahudumu maisha wanayoishi ni ya juu sana kwanzia mavazi hadi kula kwao
Kweli naona aisee
 
Vijana wengi hawana ajira na dada zetu wanataka maisha yanayoeleweka hivyo option inakuwa ni kuamua kudanga tu pitia kwenye club kubwa hapa mjini uone wale madem wahudumu maisha wanayoishi ni ya juu sana kwanzia mavazi hadi kula kwao
Ukisema kuhusu wao kutaka maisha yanayoeleweka SIKWELI.

Hawa wanawake wa sikuhizi hata uwe unafanya kazi BOT na unalipwa more than 6M still atatembea na wanaume wengine tu.

Wanatabia ya umalaya flani hivi wa kutaka kulala na kila mtu ila swala la pesa sio jambo la kuwafanya wao watulie hapana hapo nimekataa.

Tunawaona wengi tu wanahudumiwa vizuri kabisa ila still unamkuta anachepuka nje halafu anaamani tu.
 
Ukisema kuhusu wao kutaka maisha yanayoeleweka SIKWELI.

Hawa wanawake wa sikuhizi hata uwe unafanya kazi BOT na unalipwa more than 6M still atatembea na wanaume wengine tu.

Wanatabia ya umalaya flani hivi wa kutaka kulala na kila mtu ila swala la pesa sio jambo la kuwafanya wao watulie hapana hapo nimekataa.

Tunawaona wengi tu wanahudumiwa vizuri kabisa ila still unamkuta anachepuka nje halafu anaamani tu.
Tuseme ni shetani kavamia kondoo
 
Back
Top Bottom