Hivi Mwanamke hawezi kabisa kutoa penzi kwa ampendae bila kutaka kugharamiwa?

Hivi Mwanamke hawezi kabisa kutoa penzi kwa ampendae bila kutaka kugharamiwa?

mmaroroi

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2008
Posts
4,635
Reaction score
2,271
Ni mara kadhaa utasikia wanawake wakisema Mwanamke gharama. Hata awe ana Mtu wake anayempinda na yeye ana uwezo lazima atake kugharamiwa au kupewa matumizi. Wengine hushawishi hata kulipiwa ada za shule au Chuo. Kinashangaza ni kuwa hata agharamiwe kiasi gani wengi si waaminifu, huanza kutafuta Mwanaume mwingine pembeni wa kumpa matumizi. Kwanini wanawake mnakuwa hivyo? Wanaume mnaonaje changamoto hii ya wanawake?
 
Ni mara kadhaa utasikia wanawake wakisema Mwanamke gharama. Hata awe ana Mtu wake anayempinda na yeye ana uwezo lazima atake kugharamiwa au kupewa matumizi. Wengine hushawishi hata kulipiwa ada za shule au Chuo. Kinashangaza ni kuwa hata agharamiwe kiasi gani wengi si waaminifu, huanza kutafuta Mwanaume mwingine pembeni wa kumpa matumizi. Kwanini wanawake mnakuwa hivyo? Wanaume mnaonaje changamoto hii ya wanawake?
Hao ni malaya au makahaba wasio kaa barabarani tu.
 
Changamoto ni wewe kupenda usipopendwa..
Atakuomba ela hadi umkimbie mwenyewe. Be wise!
 
Back
Top Bottom