Hivi mwanamke mjamzito anahitaji kuandaliwa (romance)?!! Anajisikia?!!!

Hivi mwanamke mjamzito anahitaji kuandaliwa (romance)?!! Anajisikia?!!!

Kwani lengo la kumuandaa ni muhusika awe na utelezi ama apate hisia za kufanya mapenzi?

Kama muhimu kwako ni muhusika awe na utelezi basi unaweza ukamvua ukapachika mashine
Kama lengo la maandalizi ni muhusika awe na utayari basi haja ya maandalizi ipo
Achukue huu ushauri kutoka kwa wahusika
 
Tena mnashauriwa mfanye hata masaa mawili kabla hajaingia leba, sperms zinasaidia sana kuwahisha njia kufunga na mtoto kutoka haraka.... kuhusu swali lako maandalizi ni muhimu sana,

Wale wanaoona haifai kufanya tendo la ndoa (nasema tendo la ndoa kwa wanandoa sio uzini na mwanamke mjamzito ambae mimba si yako) wanawake wanatofautiana, wapo wanakua na hamu hadi mwisho na wapo wasiokua na hamu kabisaaa,(usimlazimishe kama hataki), na wapo ambao wana matatizo ya ujauzito kwa hiyo haishauriwi mikiki yoyote ikiwemo sex.
 
Aisee mimba zangu sipendi kuona mwanaume mbele yangu.nikiona hata picha watu wamekumbatiana tu natapika vibaya mno.hongereni mnaogegedwa
Me yaani nikishikwa tu naweza kufa yaani
 
Back
Top Bottom