Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
Wote hao walikuwaga Pandahill enzi hizoo! Hata Madembwe alikuwa Panda japo hakuwa ticha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli Ila inasemekana kifo chake gari ilimgonga Ila inasemekana ilikuwa gari ya lucky dube. Jamaa senzo alivyojitenga na kuanza kuimba raggae mwaka ule kazi zake ziliongoza Kwa mauxo ya mziki wa raggae. Bifu ikawepo Kati yake na lucky dube.
Huyu Senzo wako alikuwa maarufu SA tu wengine tulimfahamu baada ya kuuwawa,anayeuliziwa ni yule mwanamziki wa Reggae ambaye yu ngali hai.Senzo amefariki muda mrefu na aliuwawa kwa kupigwa risasi na rafiki yake kipenzi aliyekuwa anampa drugs anaitwa LONGWE drugs zilikuwa zinamsaidia kupafomu muda mrefu.
Ugomvi ulianzia kwa mmoja wa rafiki yao anaitwa kelly dhidi ya Longwe kisa tu mwanamke sasa ikabidi aingilie Senzo na wakati huo alikuwepo mwanamke ambaye ni mama yake na kelly khumalo.
Longwe alimpiga risasi Senzo na baada ya kumpiga aliwatishia kelly na mama yake kuwa wakisema atawauwa nao.
Maneno ya mwisho aliyoyatamka senzo ulimwenguni ni "yini le oyenzayo mfethu" (What are you doing my brother)
Hujui Bro kaa kimya tuuSenzo inasemekana alikuwa kwenye bendi ya lucky dube but. Aliachana na lucky dube na kuanza kuimba raggae ktk mwaka ule alimzidi lucky dube Kwa mauxo ya album zake katika raggae. Watu wanadai aligongwa na gari ya luck dube. Kwahiyo inasemekana aliuawa na lucky dube
Wewe Mwongo. Unaleta story za vijiweniNi kweli Ila inasemekana kifo chake gari ilimgonga Ila inasemekana ilikuwa gari ya lucky dube. Jamaa senzo alivyojitenga na kuanza kuimba raggae mwaka ule kazi zake ziliongoza Kwa mauxo ya mziki wa raggae. Bifu ikawepo Kati yake na lucky dube.
Sii kweli. Usishadadie usiyojua Maneno ya waswahiliYawezekana kabisa Mkuu
Nipo hapa S Africa Senzo alishafariki kitambo sanaHabari wadau, mie ni mshabiki muziki wa reggae,huyu mwanamuziki sifahamu taarifa zake mwenye uelewa nazo anijuze tafadhari.
Sii kweli. Usishadadie usiyojua Maneno ya waswahili
Namzungumzia senzo reggae artistHuyu Senzo wako alikuwa maarufu SA tu wengine tulimfahamu baada ya kuuwawa,anayeuliziwa ni yule mwanamziki wa Reggae ambaye yu ngali hai.
Mimi nimetoa uthibitisho kuwa yuko hai, na wewe toa wa kwako kuwa kafa! Acheni kuishi kwa hisiaHadi ww mkuu unaamini yupo hai?
Hii ilitamba sana kipindi cha katikati ya miaka ya 90. Ikatajwa amekufa kwa figisu zinazomhusisha rafiki yake yaani Luck Dube, na ni kitambo sana. Hata kifo cha Dube,ni nadharia ya kisasi cha wadau wa Senzo(ni nadharia ambazo ni ngumu kuthibitisha,ila zipo na hazina tofauti na zile za kifo cha Tupac na Notorious B.I.G)Senzo inasemekana alikuwa kwenye bendi ya lucky dube but. Aliachana na lucky dube na kuanza kuimba raggae ktk mwaka ule alimzidi lucky dube Kwa mauxo ya album zake katika raggae. Watu wanadai aligongwa na gari ya luck dube. Kwahiyo inasemekana aliuawa na lucky dube
Hapana bro,aliyekuwa na mahusiano na Kelly Kumalo ni Senzo Meyiwa ambaye alikuwa goalkeeper wa Orlando Pirates.Namzungumzia senzo reggae artist
Je ni kweli senzo yu hai au marehemu?Hii ilitamba sana kipindi cha katikati ya miaka ya 90. Ikatajwa amekufa kwa figisu zinazomhusisha rafiki yake yaani Luck Dube, na ni kitambo sana. Hata kifo cha Dube,ni nadharia ya kisasi cha wadau wa Senzo(ni nadharia ambazo ni ngumu kuthibitisha,ila zipo na hazina tofauti na zile za kifo cha Tupac na Notorious B.I.G)
Mnhhhh...!!Habari wadau, mie ni mshabiki muziki wa reggae,huyu mwanamuziki sifahamu taarifa zake mwenye uelewa nazo anijuze tafadhari.
duhkitamboooo
hajafa msikilize hapa,malaria ilimsumbua