Hivi mwanamuziki Senzo yu hai au alishafariki?

Hivi mwanamuziki Senzo yu hai au alishafariki?

Huyo Senzo unayemuongelea hajawagi kupiga "vyombo" kwa Dube!

Jamani Meneja wa Dube yupo wanae, hata historia ya wanamziki waliowahi kufanya kazi na Dube ipo mitandaoni! Senzo hakuwahi kuwa na Dube!

Mwisho hajafaaa, mbona mnapenda story za vijiweni!!

angalia performance live ya huyo mnaedai alikufa!

Kafanya mwaka huu

Senzo died long ago..
 
watanzania kwa kuamini hadithi za vijiweni hatujambo. kuna watu walieneza uongo kuwa Nyerere alikataa kumsalimia kwa kumpa mkono Bob Marley siku ya Uhuru wa zimbabwe, wakadai alimshikisha fimbo kumbe urongo

leo wanadai senzo amekufa lakini hawasemi amekufaje na amekufa lini. senzo yu hai na uthibitisho umewekwa humu bado wanaamini porojo na stori za vijiweni kuwa amekufa
 
Mkuu ni zaidi ya miaka mitano, Senzo aliuawa kabla ya Lucky Dube aliyeuawa zaidi ya miaka kumi iliyopita, kama sijakosea Senzo aliuawa miaka ya 1990s mwishoni
Dube alikufa 2007 na senzo aliuwawa kabla ya hapo
 
Senzo amefariki muda mrefu na aliuwawa kwa kupigwa risasi na rafiki yake kipenzi aliyekuwa anampa drugs anaitwa LONGWE drugs zilikuwa zinamsaidia kupafomu muda mrefu.

Ugomvi ulianzia kwa mmoja wa rafiki yao anaitwa kelly dhidi ya Longwe kisa tu mwanamke sasa ikabidi aingilie Senzo na wakati huo alikuwepo mwanamke ambaye ni mama yake na kelly khumalo.

Longwe alimpiga risasi Senzo na baada ya kumpiga aliwatishia kelly na mama yake kuwa wakisema atawauwa nao.
Maneno ya mwisho aliyoyatamka senzo ulimwenguni ni "yini le oyenzayo mfethu" (What are you doing my brother)
Mmhhhh!!!
Niliona mahojiano yake mwaka juzi nadhani, yuko hai alipatwa na maradhi ya kishirikina....
 
Hapana bro,aliyekuwa na mahusiano na Kelly Kumalo ni Senzo Meyiwa ambaye alikuwa goalkeeper wa Orlando Pirates.

Kisa ulichokiongelea ni cha Senzo huyo na si Senzo reggae artist.
Rumors zipo kuwa yuko hai, ila binafsi nafahamu alifariki kabla hata ya lucky dube
 
Senzo amefariki muda mrefu na aliuwawa kwa kupigwa risasi na rafiki yake kipenzi aliyekuwa anampa drugs anaitwa LONGWE drugs zilikuwa zinamsaidia kupafomu muda mrefu.

Ugomvi ulianzia kwa mmoja wa rafiki yao anaitwa kelly dhidi ya Longwe kisa tu mwanamke sasa ikabidi aingilie Senzo na wakati huo alikuwepo mwanamke ambaye ni mama yake na kelly khumalo.

Longwe alimpiga risasi Senzo na baada ya kumpiga aliwatishia kelly na mama yake kuwa wakisema atawauwa nao.
Maneno ya mwisho aliyoyatamka senzo ulimwenguni ni "yini le oyenzayo mfethu" (What are you doing my brother)
Inasemekana Senzo aliuwawa kwa mkakati uliopangwa na Dube....baada ya wawili hao kujitenga kimziki....Senzo akaanza kuimba kivyake akaanza kumfunika Dube.....baadaye Tim Senzo ikalipa kisasi kwa kumuua Dube..... inasemekana lkn....
 
Inasemekana Senzo aliuwawa kwa mkakati uliopangwa na Dube....baada ya wawili hao kujitenga kimziki....Senzo akaanza kuimba kivyake akaanza kumfunika Dube.....baadaye Tim Senzo ikalipa kisasi kwa kumuua Dube..... inasemekana lkn....
Hawajawahi kuwa Pamoja Kimuziki. Na Senzo asingeweza Kumfikia Dube Kirahisi.
 
Ila Heri wewe unasema Inasemekana. Kuna Watu wanashadidia sana kumbe Story za Radio Mbao
Inasemekana Senzo aliuwawa kwa mkakati uliopangwa na Dube....baada ya wawili hao kujitenga kimziki....Senzo akaanza kuimba kivyake akaanza kumfunika Dube.....baadaye Tim Senzo ikalipa kisasi kwa kumuua Dube..... inasemekana lkn....
 
Senzo yuko hai acheni story za vijiweni, oooh aliuwawa na lucky dube, acheni chai za miaka hiyo hamna youtube wala google. Mi nimekuwa nikamini siku zote Sam Mangwana ni marehemu kutokana na chai nilizolishwa nikiwa mdogo, nimekuja kusearch youtube na google kumbe jamaa yupo hai, lakin ukienda kijijini kwetu ambako wimbo wa Maria Tebola ulipigwa sana enzi hizo wanaamini jamaa ni marehemu kitambo
 
Senzo amefariki muda mrefu na aliuwawa kwa kupigwa risasi na rafiki yake kipenzi aliyekuwa anampa drugs anaitwa LONGWE drugs zilikuwa zinamsaidia kupafomu muda mrefu.

Ugomvi ulianzia kwa mmoja wa rafiki yao anaitwa kelly dhidi ya Longwe kisa tu mwanamke sasa ikabidi aingilie Senzo na wakati huo alikuwepo mwanamke ambaye ni mama yake na kelly khumalo.

Longwe alimpiga risasi Senzo na baada ya kumpiga aliwatishia kelly na mama yake kuwa wakisema atawauwa nao.
Maneno ya mwisho aliyoyatamka senzo ulimwenguni ni "yini le oyenzayo mfethu" (What are you doing my brother)
Usipotoshe watu, Senzo yupo hai. Na kwa kukuthibitishia, tunafanya nae mawasiliano mara kwa mara. Wewe hii source umetoa wapi? Ni bora kama jambo hulijui ukae kimya
 
Usipotoshe watu, Senzo yupo hai. Na kwa kukuthibitishia, tunafanya nae mawasiliano mara kwa mara. Wewe hii source umetoa wapi? Ni bora kama jambo hulijui ukae kimya
Usiwe mjinga wa kufuata upepo kama bendera.
Sina haja ya kumjibu mtu mjinga
 
watanzania kwa kuamini hadithi za vijiweni hatujambo. kuna watu walieneza uongo kuwa Nyerere alikataa kumsalimia kwa kumpa mkono Bob Marley siku ya Uhuru wa zimbabwe, wakadai alimshikisha fimbo kumbe urongo
leo wanadai senzo amekufa lakini hawasemi amekufaje na amekufa lini. senzo yu hai na uthibitisho umewekwa humu bado wanaamini porojo na stori za vijiweni kuwa amekufa
Wewe ndo mpuuzi basi.. Senzo kafa mda.

Kipindi anafariki wengi humu mlikuwa la pili au la tatu.
Huyo muhuni atawapiga hela tuuhh
 
Wewe ndo mpuuzi basi.. Senzo kafa mda.

Kipindi anafariki wengi humu mlikuwa la pili au la tatu.
Huyo muhuni atawapiga hela tuuhh
Mpuuzi zaidi ni yule anayeshindwa kutoa hoja yenye mashiko. Umesema Senzo kafa. Je una uthibitisho gani kuwa kafa muda? Je alikufa lini, wapi na sababu ya kifo ni nini?
Alizikwa wapi?
 
Back
Top Bottom