data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Huyo Senzo unayemuongelea hajawagi kupiga "vyombo" kwa Dube!
Jamani Meneja wa Dube yupo wanae, hata historia ya wanamziki waliowahi kufanya kazi na Dube ipo mitandaoni! Senzo hakuwahi kuwa na Dube!
Mwisho hajafaaa, mbona mnapenda story za vijiweni!!
angalia performance live ya huyo mnaedai alikufa!
Kafanya mwaka huu
Senzo died long ago..