Hivi Mwanaume ambaye hana muda na usafi / utanashati ana haki ya kutongoza Wanawake?

Hivi Mwanaume ambaye hana muda na usafi / utanashati ana haki ya kutongoza Wanawake?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Sisi wanaume kubanwa na uchumi ni swala la kawaida sana lakini bado haijawahi kutuondolea asili yetu kupenda wanawake.

Ila sasa unakuta mtu uchumi umembana lakini hajiongezi japo hata kidogo kwenye hygiene, huyu mtu yupo sawa kweli ?
  1. Mtu kavaa jezi siku 2 mfululizo
  2. Kuoga kwake ni shida na maji yapo kibao tu
  3. Vesti kaivaa miaka nenda rudi imefubaa na ni chafu
  4. Akivua viatu humo ndan hakukaliki.
  5. Nywele kuchana tu ni ishu
Hivi huyu mtu kweli akianza kulalamka anakataliwa sana kuna haja ya kumshangaa?
 
Ngoja waje jaoi kuna wanawake huwa wanaowapenda "bad boys"
 
Sisi wanaume kubanwa na uchumi ni swala la kawaida sana lakini bado haijawahi kutuondolea asili yetu kupenda wanawake.

Ila sasa unakuta mtu uchumi umembana lakini hajiongezi japo hata kidogo kwenye hygiene, huyu mtu yupo sawa kweli ?
  1. Mtu kavaa jezi siku 2 mfululizo
  2. Kuoga kwake ni shida na maji yapo kibao tu
  3. Vesti kaivaa miaka nenda rudi imefubaa na ni chafu
  4. Akivua viatu humo ndan hakukaliki.
  5. Nywele kuchana tu ni ishu
Hivi huyu mtu kweli akianza kulalamka anakataliwa sana kuna haja ya kumshangaa?
We ni manzi au unawasemea mamanzi?
 
Mkuu kwani we ni jinsia gani?

Samahani lakini kwa swali hili na natumaini halitakughafilisha! [emoji16]

Mi huwa nadhani kuwa we ni +me [emoji15]
Akikujibu nitagi

Mi natokea rock city ila kuna siku nimepita manzense tip top hapa bongo nikaona mwanaume anasafishwa kucha nilishangaa sana nikasema huyu itakuwa amevaa suruali kimakosa
 
tupo tunaoupenda huo uchafu wako

sio wote tunataka wavaa eleni na pafyum za ghari
 
Sasa mademu hata wakikubari unapata Nini hapa mjini watu wapo busy na Maisha wapo rough na wanAwatomber sana wanawake

Maana hata ukivaa vizuri Kama hauna Salio demu anakukataa vizuri tu.
 
Sisi wanaume kubanwa na uchumi ni swala la kawaida sana lakini bado haijawahi kutuondolea asili yetu kupenda wanawake.

Ila sasa unakuta mtu uchumi umembana lakini hajiongezi japo hata kidogo kwenye hygiene, huyu mtu yupo sawa kweli ?
  1. Mtu kavaa jezi siku 2 mfululizo
  2. Kuoga kwake ni shida na maji yapo kibao tu
  3. Vesti kaivaa miaka nenda rudi imefubaa na ni chafu
  4. Akivua viatu humo ndan hakukaliki.
  5. Nywele kuchana tu ni ishu
Hivi huyu mtu kweli akianza kulalamka anakataliwa sana kuna haja ya kumshangaa?
Sasa unataka watu wavae vizuri na usafi kwa Ajili ya Mademu tu
 
Huyu nadhani anafanya kila kitu kwa ajili ya kuwaridhisha mademu tu
Huyo dg bd yupo na tongotongo maana hapa dsm nguo zinauzwa hadi Buku huwezo wa Mtu kubadilisha nguo nimkubwa sana sema peoples are very busy for hustling
 
Kuchana nywele kwangu kazi mnoo, ndio maana huwa nanyoa mara kwa mara, nikiwa nipo tu mtaani nywele zimefika hatua ya kuchanwa, inawezekana zisichanwe siku zoote nitakazokiwa home, hapo ni mpaka mama watoto achukue chanio anichane au anisimamie anichane[emoji23]
 
Matozi mnajua kuoga kwasababu maji kwenu ni too easy ku afford ila kutafuta hela hamjui ndio maana mnaishia kuvaliana nguo kwa ajili ya show off za kiseng€
 
Matozi mnajua kuoga kwasababu maji kwenu ni too easy ku afford ila kutafuta hela hamjui ndio maana mnaishia kuvaliana nguo kwa ajili ya show off za kiseng€
Matozi wa hapa dsm kutwa kuvaa midosho tu
 
Back
Top Bottom