Hivi mwanaume anaacha au anaachwa? Mwanaume kweli unaanzaje kulia kwa kuachwa?

Hivi mwanaume anaacha au anaachwa? Mwanaume kweli unaanzaje kulia kwa kuachwa?

Kukukataa wakati wewe bado unamtaka.
Sasa ndio ujinga huo,inatakiwa akikukataa unavuta pisi kali kuliko yeye ili akiona aumie na ajue hakuwa peke yake
 
Sasa ndio ujinga huo,inatakiwa akikukataa unavuta pisi kali kuliko yeye ili akiona aumie na ajue hakuwa peke yake
Hata ukichukua demu mpya bado haiondoi maana kwamba umeachwa na yule wa mwanzo.
 
Back
Top Bottom