Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jun 22, 2021 #21 Mambo yao waachie wenyewe...
2019 JF-Expert Member Joined Dec 31, 2018 Posts 3,130 Reaction score 4,735 Jun 22, 2021 Thread starter #22 Mkwaha said: Issue ya kuoa/kuolewa ni point nyingine hata haina uhusiano na mada husika. Click to expand... Kinachowapa kiburi cha kudai kumwacha mwanaume ni nini?
Mkwaha said: Issue ya kuoa/kuolewa ni point nyingine hata haina uhusiano na mada husika. Click to expand... Kinachowapa kiburi cha kudai kumwacha mwanaume ni nini?
Mkwaha JF-Expert Member Joined Oct 4, 2012 Posts 1,688 Reaction score 3,182 Jun 22, 2021 #23 2019 said: Kinachowapa kiburi cha kudai kumwacha mwanaume ni nini? Click to expand... Kukukataa wakati wewe bado unamtaka.
2019 said: Kinachowapa kiburi cha kudai kumwacha mwanaume ni nini? Click to expand... Kukukataa wakati wewe bado unamtaka.
2019 JF-Expert Member Joined Dec 31, 2018 Posts 3,130 Reaction score 4,735 Jun 22, 2021 Thread starter #24 Mkwaha said: Kukukataa wakati wewe bado unamtaka. Click to expand... Sasa ndio ujinga huo,inatakiwa akikukataa unavuta pisi kali kuliko yeye ili akiona aumie na ajue hakuwa peke yake
Mkwaha said: Kukukataa wakati wewe bado unamtaka. Click to expand... Sasa ndio ujinga huo,inatakiwa akikukataa unavuta pisi kali kuliko yeye ili akiona aumie na ajue hakuwa peke yake
Mkwaha JF-Expert Member Joined Oct 4, 2012 Posts 1,688 Reaction score 3,182 Jun 22, 2021 #25 2019 said: Sasa ndio ujinga huo,inatakiwa akikukataa unavuta pisi kali kuliko yeye ili akiona aumie na ajue hakuwa peke yake Click to expand... Hata ukichukua demu mpya bado haiondoi maana kwamba umeachwa na yule wa mwanzo.
2019 said: Sasa ndio ujinga huo,inatakiwa akikukataa unavuta pisi kali kuliko yeye ili akiona aumie na ajue hakuwa peke yake Click to expand... Hata ukichukua demu mpya bado haiondoi maana kwamba umeachwa na yule wa mwanzo.