tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,931
- 15,849
Habari za leo wananchi wenzangu?
Kuna binti mmoja huwa nampa lifti kwenye subaru impreza yangu kwenda job coz kazini kwangu na kazini kwake ni njia moja, sasa leo nimepata dharura, nikamwambia sitoweza kumpitia instead nikamtumia tu kama elfu 30 nikamwambia ajaribu kurequest uber, ebwana yule binti kafurahi na kunitumia text kuwa mimi ni very gentleman and caring man.me nikawa najiuliza tu, hicho kimsaada kiduchu ndio cha mimi kupewa masifa yote hayo?
Eti wakuu, Mwanaume gentleman, ndio mwanaume wa namna gani?
Kuna binti mmoja huwa nampa lifti kwenye subaru impreza yangu kwenda job coz kazini kwangu na kazini kwake ni njia moja, sasa leo nimepata dharura, nikamwambia sitoweza kumpitia instead nikamtumia tu kama elfu 30 nikamwambia ajaribu kurequest uber, ebwana yule binti kafurahi na kunitumia text kuwa mimi ni very gentleman and caring man.me nikawa najiuliza tu, hicho kimsaada kiduchu ndio cha mimi kupewa masifa yote hayo?
Eti wakuu, Mwanaume gentleman, ndio mwanaume wa namna gani?