Hivi mwanaume unakosaje ndevu?

Hivi mwanaume unakosaje ndevu?

We mwanaume unataka kumkiss mwanaume tena???
 
Ujinga wa kiwango cha lami. Kama unapenda ndevu tafuta wanaume sampuli ya Osama na sio kuponda maumbile ya wengine. Unafikiri wanaume nao tuna akili za kijinga kufanya surgery kuongeza makalio na nyonyo?[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Huyo ni mwanaume
 
Kwakuwa wewe unapenda wenye ndevu unafikiri wote wanazipenda...
 
Ndevu hata wanawake wanazo, siyo inshu tena..
 
Mwanaume inabidi awe na ndevu zile zilizo panda hadi huku mashavuni halafu ziwe fupi sio zile zinazokua kwa kidevu tu. Mwanaume hata ukimkiss zile ndevu zikiwa zinachoma choma zinaleta raha fulani hivi.

Sasa unakuta mwanaume mwingine hana hata ndevu hata ukimkiss unahisi unamkiss mwanamke mwezio hata anakuwa asisimui. Wanaume wasiokuwa na ndevu saa nyingine unaweza kudhan ni katoto ka form one ukimshika mashavuni au kidevuni.

Mwanaume unakosaje ndevu?

View attachment 1472533
Kuwa na ndevu ni maumbile aliyopewa mtu na Muumba wake.Unapotoa hoja kama hii jaribu kufikiria unamkosoa nani? Mwenyenzi Mungu/wazazi au unamaanisha nini? Kufuru zinaanzia kwenye hoja za kujiona Bora zaidi! USIMSAHIHOSHE MUUMBA WAKO.
 
Hicho ndio kitu muhimu mdogo wangu...ndevu hata beberu anazo
20200313_140847.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 20200313_140804.jpg
    20200313_140804.jpg
    59.1 KB · Views: 3
Mwanaume inabidi awe na ndevu zile zilizo panda hadi huku mashavuni halafu ziwe fupi sio zile zinazokua kwa kidevu tu. Mwanaume hata ukimkiss zile ndevu zikiwa zinachoma choma zinaleta raha fulani hivi.

Sasa unakuta mwanaume mwingine hana hata ndevu hata ukimkiss unahisi unamkiss mwanamke mwezio hata anakuwa asisimui. Wanaume wasiokuwa na ndevu saa nyingine unaweza kudhan ni katoto ka form one ukimshika mashavuni au kidevuni.

Mwanaume unakosaje ndevu?

View attachment 1472533
Ni sawa na mtu akiuliza hivi wanawake mnakosaje matako??...

Maswali yote mawili yote n ya kijinga kwa mwny timamu hawez kuuliza hivo hasa ukizingatia hizi n natural process na inherited characters
 
Mwanaume mwenye ndevu anavutia sana

Mimi napenda ziwe nyingi nyingi kama alizofuga sa hivi Nick Mutuma,soooooooooo sexy ☺
 
Mwanamke unakosaje sura?.
Unazidiwa uzuri Hadi na NSAJIGWA FUSO
 
Unajua kinachosababisha mwanaume aote ndevu?

Unajua kinachomfanya mwanamke awe na mtako?

Unajua kinachomfanya mwanamke awe na mbunye nene tamu ya moto yenye mafuta mafuta iliyoumuka kama mkate uliotiwa chachu?

Kumcheka mwanaume asiye na ndevu ni sawa na kumcheka mwanamke asiye na mtako. Wote siyo makosa yao labda kama unataka kumkosoa Aliyewaumba.

Pengine tulaumu tu mfumo wetu mbovu wa elimu, mfumo unaotoa wahitimu ambao hata hawajui mwili wa binadamu unavyofanya kazi hata katika kiwango chake cha msingi. Sad [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Naam. Ujumbe huu uwafikie na wanaume wote wanaotuponda wanawake tusio na tako wala sura maana hatukujiumba.
 
Zikiwa kichwani tunaita nywele
Zikiwa kidevuni tunaita ndevu
Zikiwa mwilini tunaita vinyweleo
Zikiwa chini ya kitovu zinaitwaje
Maana nimesahau kidogo huwa zinaitwaje.
 
Back
Top Bottom