Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Nauliza kama yupo.Unauliza au unapigia jibu mstari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauliza kama yupo.Unauliza au unapigia jibu mstari?
Hata mbumbumbu unajibiwa tu, makamu Mwenyekiti ni Tundu Lisu, na Chadema katiba yao inatambuwa vikao kwa njia ya mtandao.Kwani Chadema ina Makamu Mwenyekiti?
ID yako inaeleza kila kitu, subiri shule zifunguliwe au nenda MMU, hapa ni over size kwako, kambuzi.Nauliza kama yupo.
Nauliza kama yupo.
Njoo inbobo tuyajengeNaomba kujuzwa, TLP ina Mwenyekiti ama ndo byebye?
Hapana mkuu ni TiLaPiaToiLet Paper (TLP) kirefu chake
MKE WA HAYATI LYATONGA AUGUSTINONaomba kujuzwa, TLP ina Mwenyekiti ama ndo byebye?
PamojaMbavu zangu....
Ni mpaka Francis Mutungi atakapopachika mtu wakeNaomba kujuzwa, TLP ina Mwenyekiti ama ndo byebye?
Bila shaka na anawatembelea wanachama wake wa Lupilyo kwa njia ya mtandao. Basi sawa.Hata mbumbumbu unajibiwa tu, makamu Mwenyekiti ni Tundu Lisu, na Chadema katiba yao inatambuwa vikao kwa njia ya mtandao.
Kwahiyo Lisu anafanya majukumu yake ya makamu Mwenyekiti kama kawaida, na anahudhuria vikao vyote.
Je una lingine?
Ahahahahaha!! Ahahahahah!!!ID yako inaeleza kila kitu, subiri shule zifunguliwe au nenda MMU, hapa ni over size kwako, kambuzi.
Amezikwa Ubelejina Amsterdam. Ulikuwa hujui?Unauliza kama yupo kwani mmemzika wapi?
CCM hawajateua, maana ACT, TLP ni matawi mama ya CCM.Naomba kujuzwa, TLP ina Mwenyekiti ama ndo byebye?
Amezikwa Ubelejina Amsterdam. Ulikuwa hujui?
shaka ameolewa kabisa huko Tanga na Salim mpelembwe. ulishawahi kumuona mke wa shaka?Kama Makamu Mwenyekiti wenu anavyobokonyolewa na Amsterdam huko Ubeleji! Ahahahahah!! Ahahahahah!! Kanogewa hata hataki kurudi! Ahahahahah!!Ahahahahah!!!
Mama Samia ndo Kaimu Mwenyekiti Taifa wa TLP?Ni mama Samia hadi atakapowekwa mwenyekiti mwingine. Ifahamike TLP ni tawi la CCM.
😂😂😂😂😂😂Ni mama Samia hadi atakapowekwa mwenyekiti mwingine. Ifahamike TLP ni tawi la CCM.
Samahani mkuu mi mgeni humu jukwaani; naomba nitajiwe chama, kutoka ktk vyama vyetu tulivyonavyo hapa tz, ambacho si tawi la CCM. AhsanteNi mama Samia hadi atakapowekwa mwenyekiti mwingine. Ifahamike TLP ni tawi la CCM.
Samahani mkuu mi mgeni humu jukwaani; naomba nitajiwe chama, kutoka ktk vyama vyetu tulivyonavyo hapa tz, ambacho si tawi la CCM. Ahsante
Mama Samia ndo Kaimu Mwenyekiti Taifa wa TLP?