Huku sasa ni kujisahau ?
Yaani kama taifa ni ombaomba...., Pili hao wanaotoa hizo pesa baada ya mtu kutoa maandiko fulani si ni kwamba wanapima na kuona kama hilo linalofanyika linafaa ? (Kwani si wangeona Serikali inafanya zaidi si wangepeleka huko, vilevile kwani ni kiasi gani wanapewa au wanataka kutuaminisha kwamba hawapewi)?
Hii nchi itabidi nianze mfumo wa media blockout ili nisisikie huu upuuzi.., yaani mtu unaweza ukapata stress bure kwa kusikiliza haya maneno, ukizingatia pesa za kununulia dawa nikiugua zote wameshazichukua kwenye Tozo...