Hivi Mzumbe University siku hizi mbona haivumi?

we jamaa wa ajabu sana. Kwanini umwambie mwenzako hivyo? Ni ndoto zake, na sio zako. Mbona we kigeugeu hivi? Yaani mipango yake ndio unajidai kuipangua, wewe nani? Mkuu hebu kuwa mpole, JF SIO SEHEMU YA KUTOLEA HASIRA ZAKO.

Narudia tena kwa herufi kubwa....UDSM HAFIKI NA ATAPASIKIA KWENYE RADIO TU..............
 
kwahiyo tabia ya mtu ni chuo anachosoma au mtu mwenyewe? Mbona sijakuelewa. Kwanini unahukumu kitabu kwa kukiangalia kasha tu? Kisome ndio ujue kina nini.

Mkuu nadhani kinachokushinda ni kujua kufanya uchambuzi wa hoja tu,endelea kukaa hapa JF nadhani kuna siku utafaulu.............
 
Ulianza vizur lkn mwisho umetumia masaburi kumalizia mada.Mzumbe bado na kinaendelea kuwa chuo bora chenye kiwango kidogo sana cha vilaza ukilinganisha na vyuo vingne kama IAAA,UDOM na vyuo vingine

we mbweha nin,,bora hata shule ya udom na IAA ime2lia kuliko hyo yenu ya kupewa 1st class za kukaririshwa..hata hao vipanga waloko mzumbe sa hz wanajilaumu kupoteza muda wao huko...
 
Hivi wewe dogo sixmund unadhani kusoma chuo fulani magoli sana???........hii inadhihilisha watu wengi mlioko mikoani tena huko vijijini mlivyokuwa nyuma kifikra,na hii inadhihilishwa na upuuzi mnaoendelea kuukalili.Kwa sisi tuliokulia DSM tunajua njia zote za kutoka kimaisha sasa kama unataka kulijua jua linavyounguza wewe kapige hiyo micourse yako hapo UDSM maana unaonekana hata chuo ujaanza ila una mbwembwe zote omba sana ufanye NECTA kwa afya dogo maana usimtukane mamba kabla ujauvuka mto.........Na jitahidi ukiwa unapost comment ujue kuwa humu jukwaani unaongea na kina nani maana sisi sio wanafunzi wa uniform get that into your head.
 
Wewe Senetor acha wivu kwa wanafunzi wanaosoma mzumbe maana naona bado unamaumivu sana,hii inaonesha hapo UDSM umeshaona ukweli wa maisha yako yanakoelekea ni matata matupu waache wanamzumbe waingie makazini huku nyinyi mnaokalili mkae bench na kufundisha tuition mwenge na mchikichini maana hamna deal wanafunzi UDSM by now and ever.........BAF mzumbe course lenye heshima mpaka kesho watu kibao wameitaka wamepigwa chini now wako UDSM kazi kumaind TCU........KAKA LEARN TO LIKE MZUMBE.
 

we pimbi nawe unaongea nin??
 
Mkuu nadhani kinachokushinda ni kujua kufanya uchambuzi wa hoja tu,endelea kukaa hapa JF nadhani kuna siku utafaulu.............

we mjinga nini? Kila mtu ana muda wake, huwezi kunifanya niwe kama wewe unavyotaka. Mimi ni mimi na wewe ni wewe! Kufaulu kwangu hakukuhusu.
 
Sikutegemea mtu na akili zako unaropoka utumbo kama huu. Mtu huna hata lugha ya kistaarabu, kazi kuponda watu na kuwa kigeugeu. Huu ni ujinga.
Nashukuru kwa ubwege wangu maana unanisaidia sana kujua hoja uharo za watu wengine kama wewe.............

Endeleeni kupeana moyo kwa uharo wenu....

Mkuu sitaki kujisifu kabisa,ila hoja zangu kwa mtu mwenye akili na asiye punguani atanielewa.........

Mkuu usisifie ujinga,huyo jamaa kwa taarifa yako huko UDSM hafiki na atapasikia kwenye redio tu...


Endeleeni kupeana moyo kwa uharo wenu....
 
Sikutegemea mtu na akili zako unaropoka utumbo kama huu. Mtu huna hata lugha ya kistaarabu, kazi kuponda watu na kuwa kigeugeu. Huu ni ujinga.

usipoteze muda wako kwa kubishana na haya majitu ya mzumbe mkuu,co level yako kabisa,we level yako ni vichwa toka makerere,sua,nairobi,capetown,oxford,havard na cambridge..
 
usipoteze muda wako kwa kubishana na haya majitu ya mzumbe mkuu,co level yako kabisa,we level yako ni vichwa toka makerere,sua,nairobi,capetown,oxford,havard na cambridge..

Sure bro!
 
we pimbi nawe unaongea nin??

mantiki ni kwamba wewe hauna dira na sidhani hata kama hapo UD unasoma course ya maana nafikiri ndo nyie mpo tayari kusoma UD at any cost hata kwa course zisizo na market kabisa.USILINGANISHE KABISA MZUMBE NA COLLAGES ZENU HAPO UD bora muhimbiri,ardhi wanaweza kuongea maana bado vinahadhi.
 
usipoteze muda wako kwa kubishana na haya majitu ya mzumbe mkuu,co level yako kabisa,we level yako ni vichwa toka makerere,sua,nairobi,capetown,oxford,havard na cambridge..

sio kosa lako.. litakuwa la malezi mabovu uliyoyapata toka kwa wazazi wako... na huko uswahilini mnnakoogea nje bila aibu.. ndom maana unakuja na pumba zisizo na FACT wala ahalisia wowote
 
 
we pimbi nawe unaongea nin??

mantiki ni kwamba wewe hauna dira na sidhani hata kama hapo UD unasoma course ya maana nafikiri ndo nyie mpo tayari kusoma UD at any cost hata kwa course zisizo na market kabisa.USILINGANISHE KABISA MZUMBE NA COLLAGES ZENU HAPO UD bora muhimbiri,ardhi wanaweza kuongea maana bado vinahadhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…