jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,812
- 16,487
huyu kuna maharahage kala sio kawaida kabisaBora wewe umesema cha maana. Mijanaume mingi kujifanya much know inaweza kuyakabili matatizo na kujiamulia mambo yao binafsi bila ushauri mwisho wa siku wanaharibu tu..
eti hata yeye anaona kaandika cha maana sana, kiukweli sijaona baya lolote hapo kuwa na ushirikiano