cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 238
- 954
Vipi umeishamzalia maana naepuka single mother! Kama bado njoo tuyajenge kwa maana hakuna namna!Mbona kama wangu kazidi haipiti wiki hatujagombana japo najijua mi ndo mkorofi,lakini ananikwaza jamani hanipi mda!!!! Mda wore busy tu inawezekana jamani kuongea ni usiku tu,sasa hapa nimempigia nikakuta call waiting nime mkejeri tu msalimie baby oneni alivyonijibu.....
Mwanamke ana masikio matatu.Mbona kama wangu kazidi haipiti wiki hatujagombana japo najijua mi ndo mkorofi,lakini ananikwaza jamani hanipi mda!!!! Mda wore busy tu inawezekana jamani kuongea ni usiku tu,sasa hapa nimempigia nikakuta call waiting nime mkejeri tu msalimie baby oneni alivyonijibu.....
Nikupe siri moja. Jikaze tu mpotezee najua kama unampenda kweli itakuwa ngumu. Jitahidi tu jikaze tu kama wiki moja bila mawasiliano yoyote mpotezee utaona.Mbona kama wangu kazidi haipiti wiki hatujagombana japo najijua mi ndo mkorofi,lakini ananikwaza jamani hanipi mda!!!! Mda wore busy tu inawezekana jamani kuongea ni usiku tu,sasa hapa nimempigia nikakuta call waiting nime mkejeri tu msalimie baby oneni alivyonijibu.....
Kugombana kila siku hapana lo!
MbrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrNikupe siri moja. Jikaze tu mpotezee najua kama unampenda kweli itakuwa ngumu. Jitahidi tu jikaze tu kama wiki moja bila mawasiliano yoyote mpotezee utaona.
Mimi nilikuwa obsessed na kadem kamoja kakajuwa kashaniwin kisaikolojia. Nikajitahid wiki mzima kumpotezea. Baada ya hapo akawa anaangaika kunitafuta nampotezea tu text zake kwenye WhatsApp nachukua mda kuzisoma na sizijibu na niko online WhatsApp. Na ikifikia usiku saa moja usiku natoka online WhatsApp natumia simu nyingine haijui namba ili kuwepo JF kutukanana na kina adriz na Chaliifrancisco.
Kuna siku alinifurumisha na matusi na kuniambia go back tu Africa. Yani nilifurahi nakurukaruka jinsi alivyo kuwa ananitukana.
Hii story hata maghayo anaifahamu
Sijui ulijuaje asee. Halafu navyojuaga kuudhi kuna kasauti flani nakatanguliza kamlio ka mbuzi meeh meeh kanekaraga kichiz halafu naitimisha na kishindo cha hatarii MBRRRRRR MBRRRRRR lazima tu uambiwe go back tu Africa.Mbrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
go back to africa ๐
Nimekufikia nimekusogezea karibu hio dududuBaby shakidudu dududu
Hoi umechoka kabisaUandishi wa wahusika mie hoiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahaMbona kama wangu kazidi haipiti wiki hatujagombana japo najijua mi ndo mkorofi,lakini ananikwaza jamani hanipi mda!!!! Mda wore busy tu inawezekana jamani kuongea ni usiku tu, sasa hapa nimempigia nikakuta call waiting nime mkejeri tu msalimie baby oneni alivyonijibu.
View attachment 3044169View attachment 3044173