Hivi na nyie mnagombana na ma baby zenu kila siku?

Hivi na nyie mnagombana na ma baby zenu kila siku?

Sad truth ni kwamba hakuna mapenzi hapo, Jamaa anakuchukulia poa sana. Do yourself a favor and leave.
 
Mbona kama wangu kazidi haipiti wiki hatujagombana japo najijua mi ndo mkorofi,lakini ananikwaza jamani hanipi mda!!!! Mda wore busy tu inawezekana jamani kuongea ni usiku tu, sasa hapa nimempigia nikakuta call waiting nime mkejeri tu msalimie baby oneni alivyonijibu.

View attachment 3044169View attachment 3044173
Mbona kama amesema kuna mahali anakupendea, namshauri ashikilie hapo hapo anapokupendea huku kwingine ataumia
 
Mnataka kuchart muda wote nyie ni madalali ???? Ulisema wewe mkubwa na yeye ni mdogo Lakin hapa Inaonyesha wewe ndiye mtoto
 
Wahusika wote wanaonekana ni makauzu, na hawawezi achana kwa style hio. Siku zote ni ngumu kuona washikaji wanapoteana.
 
Back
Top Bottom