The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Yes,thanks,umependeza sana na unavutia.Picha nilizokutumia zimefunguka..?
Hii comment naidedicate kwa mleta uzi na ule wimbo wa Ukilewa usichat.Nani anafuta maandishi kabla hujamaliza kuandika?
Itakuwa tecno wereva yako mkuu..
Au labda inawezekana mods wa siku hizi wana uwezo wa kufuta maandishi kabla mtu hajapost.😂😂😂Hii comment naidedicate kwa mleta uzi na ule wimbo wa Ukilewa usichat.
Muulize anaenda Pemba mara moja moja ili nasi wapenda wanaoenda huko tumtafute kwa wakati wetu.Ndio naongea nae kwa njia ya simu muda huu,nitaleta mrejesho kule kwenye Uzi wa rikiboy
Kumbe na wewe huna kichwa kama mimi.Venye vichwa walishajibu.
Haya..mwambie genta naishiaYes,thanks,umependeza sana na unavutia.
Sasa wewe mwenye kichwa ilikuaje ukauliza kwali la ajabu hivyo? Ulipaswa kujua sababu kabla hujauliza.Sikujua kama hauna kichwa Mkuu. Tusameheane.
Tunaongea wenye vichwa.
Mkuu kwani wewe huna Kichwa? Na kama huna Kichwa utaweza kuyaelewa au kuyasoma majibu ya wenye vichwa?Venye vichwa walishajibu.
Kama unaishia Unguja basi tafadhali endelea tu na mpenda Unguja The ice breaker ila Mimi mpenda wanaoenda Pemba tu kwenye mambo matamu matamu ( hata ephen_ ) anajua ngoja niendelee Kuwavizia waendaji wa huko.Haya..mwambie genta naishia
unguja kibanda maiti....(Sebleni)
Maana kakazania kama pemba naenda
Taratibu, mbona unaharaka.Sasa wewe mwenye kichwa ilikuaje ukauliza kwali la ajabu hivyo? Ulipaswa kujua sababu kabla hujauliza.
Your "kichwa" is function less au?
Huko pemba alikupeleka mtu au ulimpeleka mtu..?Kama unaishia Unguja basi tafadhali endelea tu na mpenda Unguja The ice breaker ila Mimi mpenda wanaoenda Pemba tu kwenye mambo matamu matamu ( hata ephen_ ) anajua ngoja niendelee Kuwavizia waendaji wa huko.
Pemba kutamu nyie asikuambie Mtu na huwa nawashangaa sana nyie mnaopenda kwenda Unguja ambako kumeshazoeleka na kila Mtu.
Nimecheka mpaka basi. Nilimpeleka Mtu. Ukitaka Hela yangu lazima ukubali kusafiri nami Pemba hutaki huipati Hela yangu.Huko pemba alikupeleka mtu au ulimpeleka mtu..?
😂😂
NaKAA ZIAAAAmadafaka tu..
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI tupeni nasisi huo utaalamu wa koment kufutwa kabla haijapostiwaKuna comments za uchochezi huwa zinafutwa juu kwa juu
Angalia isije ikatokea umekosa nauli ya kwenda pemba na ukalipiwa na ukapelekwa ...😌😌Nimecheka mpaka basi. Nilimpeleka Mtu. Ukitaka Hela yangu lazima ukubali kusafiri nami Pemba hutaki huipati Hela yangu.
Genta! Natumaini utamrudia muumba wako☺️Kama unaishia Unguja basi tafadhali endelea tu na mpenda Unguja The ice breaker ila Mimi mpenda wanaoenda Pemba tu kwenye mambo matamu matamu ( hata ephen_ ) anajua ngoja niendelee Kuwavizia waendaji wa huko.
Pemba kutamu nyie asikuambie Mtu na huwa nawashangaa sana nyie mnaopenda kwenda Unguja ambako kumeshazoeleka na kila Mtu.
Ma mods wa safari hii inaelekea wana uwezo wa kusoma fikra za watu kiasi cha kujua dhamira ya mtu kuliko hata mtu mwenyewe.Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna wakati ninapotaka kujibu au kuchangia hoja mbalimbali zinazoibuliwa na wadau humu JF,
.kuna kitu huwa kinanikwaza.
Unakuta kila nikijibu, mara neno nililoandika linafutwa au hata sentensi nzima inafutwa hata kabla ya kumaliza kuandika.
Hii najiuliza ni kifaa changu kina shida au kuna kamchezo kanafanyika?
.Hali hii ni kwangu tu, au na wengine huwatokea?
Amen....!!Genta! Natumaini utamrudia muumba wako☺️