Hivi na wengine huwatokea?

Hivi na wengine huwatokea?

Sikujua kama hauna kichwa Mkuu. Tusameheane.
Tunaongea wenye vichwa.
Sasa wewe mwenye kichwa ilikuaje ukauliza kwali la ajabu hivyo? Ulipaswa kujua sababu kabla hujauliza.
Your "kichwa" is function less au?
 
Haya..mwambie genta naishia
unguja kibanda maiti....(Sebleni)
Maana kakazania kama pemba naenda
Kama unaishia Unguja basi tafadhali endelea tu na mpenda Unguja The ice breaker ila Mimi mpenda wanaoenda Pemba tu kwenye mambo matamu matamu ( hata ephen_ ) anajua ngoja niendelee Kuwavizia waendaji wa huko.

Pemba kutamu nyie asikuambie Mtu na huwa nawashangaa sana nyie mnaopenda kwenda Unguja ambako kumeshazoeleka na kila Mtu.
 
Sasa wewe mwenye kichwa ilikuaje ukauliza kwali la ajabu hivyo? Ulipaswa kujua sababu kabla hujauliza.
Your "kichwa" is function less au?
Taratibu, mbona unaharaka.
Umeiaminisha JF kuwa hauna kichwa. Na ukaniuliza kama nami sina kichwa kama wewe.
Nimekujibu kwamba mimi ninacho, shida iko wapi?
 
Kama unaishia Unguja basi tafadhali endelea tu na mpenda Unguja The ice breaker ila Mimi mpenda wanaoenda Pemba tu kwenye mambo matamu matamu ( hata ephen_ ) anajua ngoja niendelee Kuwavizia waendaji wa huko.

Pemba kutamu nyie asikuambie Mtu na huwa nawashangaa sana nyie mnaopenda kwenda Unguja ambako kumeshazoeleka na kila Mtu.
Huko pemba alikupeleka mtu au ulimpeleka mtu..?
😂😂
 
Kama unaishia Unguja basi tafadhali endelea tu na mpenda Unguja The ice breaker ila Mimi mpenda wanaoenda Pemba tu kwenye mambo matamu matamu ( hata ephen_ ) anajua ngoja niendelee Kuwavizia waendaji wa huko.

Pemba kutamu nyie asikuambie Mtu na huwa nawashangaa sana nyie mnaopenda kwenda Unguja ambako kumeshazoeleka na kila Mtu.
Genta! Natumaini utamrudia muumba wako☺️
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Kuna wakati ninapotaka kujibu au kuchangia hoja mbalimbali zinazoibuliwa na wadau humu JF,
.kuna kitu huwa kinanikwaza.

Unakuta kila nikijibu, mara neno nililoandika linafutwa au hata sentensi nzima inafutwa hata kabla ya kumaliza kuandika.

Hii najiuliza ni kifaa changu kina shida au kuna kamchezo kanafanyika?

.Hali hii ni kwangu tu, au na wengine huwatokea?
Ma mods wa safari hii inaelekea wana uwezo wa kusoma fikra za watu kiasi cha kujua dhamira ya mtu kuliko hata mtu mwenyewe.

Jana kuna uzi nilicomment 'Mungu ampumzishe Chura Kiziwi maana keshachoka' mods walifuta comment yangu.

Nikabaki nawaza kosa ni kuombea chura mapumziko toka kwa Mungu au kosa ni nini? Chura niliemaanisha mimi ni chura mnyama. Ila mods with their sick thoughts wamehusisha na nini sijui.
 
Back
Top Bottom