Hivi na wengine huwatokea?

Taratibu, mbona unaharaka.
Umeiaminisha JF kuwa hauna kichwa. Na ukaniuliza kama nami sina kichwa kama wewe.
Nimekujibu kwamba mimi ninacho, shida iko wapi?
Kichwa chako hakifanyi kazi ya utambuzi kama wengine wenye navyo?
 
waliosoma CUBA, wameshakusoma labda hoja zako zinakera!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…