Habari wana JF, nimeipitia hii ripoti kwa umakini nlichogundua ni kweli kuna uwezekano mkubwa data zilikuwa zinaongezwa kidogo tukawa hatustahili 360 trilioni ,Lakino ukichukulia makinikia haiwi na thahabu tu bali kuna madini mengine pia bilioni 700 inafikirisha.
Lakini pia kwa watu ambao wamekaa sehemu zenye madini 1998-2017 ndiyo miaka ambayo madini yalikuwa yanapatikana kiurahisi na kwa wingi kiasi kwamba ni Ngumu kukubali kwa tulistahili hiyo 700bilioni tu.
Mwisho kabisa Siasa ni mchezo mchafu na kuna propaganda nyingi sana kuna uwezekano tunaaminishwa kitu ambacho sicho na watu washalamba asali.
Ukweli kamili inawezekana anao JPM mwenyewe ,nauliza tena hivi JF katika mazingira ya 1998-2017 na hii riport ni na anaweza kuamini tulistahili 700 bilioni tu?
Lakini pia kwa watu ambao wamekaa sehemu zenye madini 1998-2017 ndiyo miaka ambayo madini yalikuwa yanapatikana kiurahisi na kwa wingi kiasi kwamba ni Ngumu kukubali kwa tulistahili hiyo 700bilioni tu.
Mwisho kabisa Siasa ni mchezo mchafu na kuna propaganda nyingi sana kuna uwezekano tunaaminishwa kitu ambacho sicho na watu washalamba asali.
Ukweli kamili inawezekana anao JPM mwenyewe ,nauliza tena hivi JF katika mazingira ya 1998-2017 na hii riport ni na anaweza kuamini tulistahili 700 bilioni tu?