Tetesi: Hivi nani Huyu anayetaka kuvujisha Heshima ya Korti Za South Africa kwa Wawekezaji?

Tetesi: Hivi nani Huyu anayetaka kuvujisha Heshima ya Korti Za South Africa kwa Wawekezaji?

Mkikuyu- Akili timamu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
4,310
Reaction score
7,465
Wengi wamepokea habari za Ndege ya ATCL Kushikiliwa Huko Sauzi kwa mshangao.
Jambo la kujiuliza ni hili
1.NANI alipeleka kesi kortini? Ni S.A.A ama ni mtu binafsi?

2. Kwanini huyu mtu hakuwapea ATCL notisi ya kesi na hoja za malalamiko (Petition) kama ilivyo kawaida? Kwanini akajifanya hajui ofisi za Atcl mahali ziliko ama anwani yao?

3. Huyu ni Jaji gani ambaye anaweza toa hukumu bila kusikiza pande zote mbili? Hivi Korti za S.A zipo namna hii?

Mwishowe wa kesi hii kuna campuni na nchi ambayo itajitia aibu tele. Usimchimbie mwenzako shimo, Utaingia wewe mwenyewe!
 
Technically is wrong, before you start the court procedure, the plaintiff (to be) has to serve the notice of intention to sue, especially when defendant (to be) is not a natural person. The legal persons are normally given notice of intention to go to court before doing that.
 
Hii Kesi Haina Mashiko Yoyote, Serikali Yetu Itashinda AsubuhiNa Mapema Ila Huyo Mtu Anataka Nini
Hataki Kuona Tanzania Ikipiga Hatua Mbele

Ukweli Serikali Iko Macho Yote Yatawekwa Hadharani
Iwapo Kuna Watu Wanatumiwa Nao Wote Watajulikana
Maendeleo Hayana Chama
 
Kweli Lumumba ni mazombie,
unadaiwa miaka na miaka unagoma kulipa, unataka uchekewe tu.....pambafu kabisa.
Mwambieni Polepole awape semina kwanza kabla ya kuwatuma mitandaoni.
 
Wengi wamepokea habari za Ndege ya ATCL Kushikiliwa Huko Sauzi kwa mshangao.
Jambo la kujiuliza ni hili
1.NANI alipeleka kesi kortini? Ni S.A.A ama ni mtu binafsi?

2. Kwanini huyu mtu hakuwapea ATCL notisi ya kesi na hoja za malalamiko (Petition) kama ilivyo kawaida? Kwanini akajifanya hajui ofisi za Atcl mahali ziliko ama anwani yao?

3. Huyu ni Jaji gani ambaye anaweza toa hukumu bila kusikiza pande zote mbili? Hivi Korti za S.A zipo namna hii?

Mwishowe wa kesi hii kuna campuni na nchi ambayo itajitia aibu tele. Usimchimbie mwenzako shimo, Utaingia wewe mwenyewe!
ukirudi nyuma mpaka kipindi kingdom au empire zina rise na ku fall, utajua leo serikali zinatakiwa kuwa na mikakati kabambe sanaaa sio hizi story story tunazofanya na nchi nyingine. Lazima tuwe na ushushushu kabambe
 
Wengi wamepokea habari za Ndege ya ATCL Kushikiliwa Huko Sauzi kwa mshangao.
Jambo la kujiuliza ni hili
1.NANI alipeleka kesi kortini? Ni S.A.A ama ni mtu binafsi?

2. Kwanini huyu mtu hakuwapea ATCL notisi ya kesi na hoja za malalamiko (Petition) kama ilivyo kawaida? Kwanini akajifanya hajui ofisi za Atcl mahali ziliko ama anwani yao?

3. Huyu ni Jaji gani ambaye anaweza toa hukumu bila kusikiza pande zote mbili? Hivi Korti za S.A zipo namna hii?

Mwishowe wa kesi hii kuna campuni na nchi ambayo itajitia aibu tele. Usimchimbie mwenzako shimo, Utaingia wewe mwenyewe!

Ndugu yangu naona umepaniki unneccessary!

Kama jambo hulijui omba uelimishwe uweke na rejea upitie!

Sio unatoa na wewe facts wakati wewe sio ATCL!
 
Wengi wamepokea habari za Ndege ya ATCL Kushikiliwa Huko Sauzi kwa mshangao.
Jambo la kujiuliza ni hili
1.NANI alipeleka kesi kortini? Ni S.A.A ama ni mtu binafsi?

2. Kwanini huyu mtu hakuwapea ATCL notisi ya kesi na hoja za malalamiko (Petition) kama ilivyo kawaida? Kwanini akajifanya hajui ofisi za Atcl mahali ziliko ama anwani yao?

3. Huyu ni Jaji gani ambaye anaweza toa hukumu bila kusikiza pande zote mbili? Hivi Korti za S.A zipo namna hii?

Mwishowe wa kesi hii kuna campuni na nchi ambayo itajitia aibu tele. Usimchimbie mwenzako shimo, Utaingia wewe mwenyewe!
Hili nalo limekuuma....Nilidhani SA ni rafiki wa jadi wa Tz, imekuwaje tena?
 
Wengi wamepokea habari za Ndege ya ATCL Kushikiliwa Huko Sauzi kwa mshangao.
Jambo la kujiuliza ni hili
1.NANI alipeleka kesi kortini? Ni S.A.A ama ni mtu binafsi?

2. Kwanini huyu mtu hakuwapea ATCL notisi ya kesi na hoja za malalamiko (Petition) kama ilivyo kawaida? Kwanini akajifanya hajui ofisi za Atcl mahali ziliko ama anwani yao?

3. Huyu ni Jaji gani ambaye anaweza toa hukumu bila kusikiza pande zote mbili? Hivi Korti za S.A zipo namna hii?

Mwishowe wa kesi hii kuna campuni na nchi ambayo itajitia aibu tele. Usimchimbie mwenzako shimo, Utaingia wewe mwenyewe!
I believe km watu waliweza kwenda mahakamani mpk plane ikazuiwa bhas haya yte walifikiria,
And i hope wata solve soon na hiki liwe fundisho both sides
 
Ex-parte orders are issued every day. Especially if such orders are a conservatory. If you disclose to the debtor (Air Tanzania) that you intend to sue them - then she may never lands her planes in the jurisdiction of the court making any further ruling nugatory. Once the plane has been seized - then parties can serve Air Tanzania or Tanzania gov - and the case can be heard to its conclusion. Tanzania can seek for the release of the plane if they can convince the court they have a strong rebuttal and or put down a deposit of the money in an escrow account.
 
Back
Top Bottom