Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
- Thread starter
- #21
Kampuni inayo filisika kama SAA sio tishio kwa yeyote..Haya ni mateke ya punda aliye kufaNdugu yangu naona umepaniki unneccessary!
Kama jambo hulijui omba uelimishwe uweke na rejea upitie!
Sio unatoa na wewe facts wakati wewe sio ATCL!