Hivi nani mwingine anakereka na hili swali toka kwa wife?

Hivi nani mwingine anakereka na hili swali toka kwa wife?

Moyo usio na shukrani unachukia kila kitu, kama unakereka mjulishe kwamba mke wangu we unachokitaka tule siku hiyo ndio upike me nitakipenda tu, maana wenyewe hapo mara nyingine mnakuja kusema wake hawajiongezi, kumbe anapokuuliza maana yake mkeo kajinyima ili ale we unachokipenda, machaguo yake kayaweka pembeni, halafu unatuambia swali hili hulipendi, inaonyesha ume mu underestimate mkeo kwa mengi sana, acha huo utoto. Kama hajapika kwa wakati anakusubiri that means wewe ni mlalamishi huna mwelekeo kwamba huwa unapenda nn kula
 
Mke anapenda apike chakula ambacho ni chaguo lako, na wewe haupendi? Lol
Wanawake tunaweza kupika kila siku tunavyovipenda lakini je ndio wanavyopenda wapenzi wetu?

Ni swali zuri sana kwa watu wanaopendana na kujaliana. Hamna siku unaona kapika hiki lakini moyoni unatamani angepika hiki?
 
Hahahah yan tumeshakuwa wachumba sugu tukaamua kuhalalisha ndoa halafu uwe hujui nachopenda kula. Amna mwanaume asiependa nyama na ugali bana ila tu naachoona wanawake ambao hawana interest na ubunifu jikoni ndio watu wa kuuliza uliza hili swali.
Nakumbuka niliwai ishi na dem m1 Arusha..yeye kula hapend..na mtu ambae kula hapend bas kupika huwa hapend .yeye vyakula vyake vya ajabu..atachemsha mi tambi/nudles hapo na maziwa anakula na sosej..au anaenda nunua chocolate cake anakula imetoka hyo..mim sasa napenda ugal nyama maharage.samak .kisamvu .mlenda dagaa...yaan real food...alikua hapik..nilipata shida sana ishi na yule bint
 
Hahahah yan tumeshakuwa wachumba sugu tukaamua kuhalalisha ndoa halafu uwe hujui nachopenda kula. Amna mwanaume asiependa nyama na ugali bana ila tu naachoona wanawake ambao hawana interest na ubunifu jikoni ndio watu wa kuuliza uliza hili swali.
Siyo wote wanapenda ugali nyama huwezi amini hili, usiishi kwa kukariri..!!
 
"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Kweli wanaume tunafanana mkuu.

Mimi nakereka kweli na hili swali.

Mtu anauliza beby tunakula nini leo badala aseme tu beby nina hamu ya chipsi japokuwa chakula kipo ndani.
Mara nyingi wanasema hivyo wakishachoka kula chakula cha ndani kila siku hivyo hutaka kubadilisha aina ya chakula
 
"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Unaweza ukawa una roho mbaya sana ila hujui kama uko hivyo. Unachukia watu ikiwa ni pamoja na huyo uliyenaye
 
"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Mimi kero yangu nyingine pamoja na hiyo ya kuuliza chakula, ni kulala kwenye kochi na kunilalia kila napo ka karibu nae duh, hawezi kuangalia move au tv bila kulalia sofa, inakera arafu huwezi kumkemea atasema hooo! you ur not romantic, wanaumme hampendeki nk..........inekera sana plz wake zetu regulate your habits plz
 
Yani mimi huyo niwe na roho mbaya, tofautisha annoyance na humbleness.
Halafu unaonyesha siyo mkweli, yaani hauko wazi. Unatunza mambo madogo madogo rohoni halafu unakwengda tena kuyaweka public somewhere. Mke wako unashindwa nini kumweleza kama hilo swali huwa limnakukera aache kuwa anakuuliza, hadi unafikia kulileta humu jukwaani? Unakaa umemvimbia kifuani mtoto wa watu kwa kitu kidogo kama hicho, huku yeye akiwa hajui. Tabia ya ajabu sana hii kwa mtu yeyote yule anayeitwa mwanamme
 
Hahahah yan tumeshakuwa wachumba sugu tukaamua kuhalalisha ndoa halafu uwe hujui nachopenda kula. Amna mwanaume asiependa nyama na ugali bana ila tu naachoona wanawake ambao hawana interest na ubunifu jikoni ndio watu wa kuuliza uliza hili swali.
Sasa wangu mi hapendi kabisaa ugali anapenda tuu ndizi za kwao Marangu. So mkipika ugali na ndizi zake ziwepo.Hakuna kitu kigumu kama kuwaza una pika nini aisee ni kazi ngumuu
 
"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
yeye mwenyewe umemueleza kuwa hupendi Hilo swali au unatueleza sisi Kwanza..
 
Back
Top Bottom