Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wangu mi hapendi kabisaa ugali anapenda tuu ndizi za kwao Marangu. So mkipika ugali na ndizi zake ziwepo. Hakuna kitu kigumu kama kuwaza una pika nini aisee ni kazi ngumuu
mimi hua siwezi kula ugali nyama au samaki na maharage! ugali kwangu unaenda sambamba na dagaa mboga za majani nkSiyo wote wanapenda ugali nyama huwezi amini hili, usiishi kwa kukariri..!!
Siku ukipikiwa ugali na kabichi ndio utaelewa umuhimu wa hilo swali."Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment
Akili zao wanazijua wenyewe,"Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Kwa wanaume wengi wa Mbeya, pika ugali usiku kama una hamu ya kula mwenyewe.Hahahah yan tumeshakuwa wachumba sugu tukaamua kuhalalisha ndoa halafu uwe hujui nachopenda kula. Amna mwanaume asiependa nyama na ugali bana ila tu naachoona wanawake ambao hawana interest na ubunifu jikoni ndio watu wa kuuliza uliza hili swali.
Na mimi nimesema hivyo. Baba yangu hakuwa mpenzi wa nyama, labda za aina chache sana na sio mchuzi, na usithubutu kumpikia ugali usiku unless amekwambia. Na wanaume wengi wenye asili ya Mbeya; kumpikia ugali usiku ni ugomviSiyo wote wanapenda ugali nyama huwezi amini hili, usiishi kwa kukariri..!!
mi mwenyewe ugali usiku nalilia shida tu ila mpunga ni anyday!Na mimi nimesema hivyo. Baba yangu hakuwa mpenzi wa nyama, za aina chache sana na sio mchuzi, na usithubutu kumpikia ugali usiku unless amekwambia. Na wanaume wengi wenye asili ya Mbeya; kumpikia ugali usiku ni ugomvi
Ugali na nyama nyingi + chachandu + mboga za majani ... mwanamke akinipikia hvi atanishawishi na pombe nianze kunywea ndaniHahahah yan tumeshakuwa wachumba sugu tukaamua kuhalalisha ndoa halafu uwe hujui nachopenda kula. Amna mwanaume asiependa nyama na ugali bana ila tu naachoona wanawake ambao hawana interest na ubunifu jikoni ndio watu wa kuuliza uliza hili swali.
Hilo ni technical question,la kukupiga mzinga wa pochi mzee baba.wanawake wataalam Sana wa kucheza na IQ yako.akili kubwa inahitajika kwenda nao sambamba mkuu."Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Upo sahihi my dear, wanaume wengi hawapendi ugali na hiyo michuzi kabisa..!!Na mimi nimesema hivyo. Baba yangu hakuwa mpenzi wa nyama, labda za aina chache sana na sio mchuzi, na usithubutu kumpikia ugali usiku unless amekwambia. Na wanaume wengi wenye asili ya Mbeya; kumpikia ugali usiku ni ugomvi
relax bro...calm down homeboy...easy easy home planet...chilling"Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Mkuu, mambo ya kudeka hayooo"Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.