Hivi nanyi mmebahatika anayeyajua mapenzi kama huyu wangu?

Hivi nanyi mmebahatika anayeyajua mapenzi kama huyu wangu?

Tutaaminije haya uyasemayo? Kwasababu umesema ili tuamnini basi na yeye atuaminishe kwa njia hiyo hiyo aliyotumia kukuaminisha... Mimi nikiwa wa kwanza katika mstari[emoji23][emoji2960]
 
Tutaaminije haya uyasemayo? Kwasababu umesema ili tuamnini basi na yeye atuaminishe kwa njia hiyo hiyo aliyotumia kukuaminisha... Mimi nikiwa wa kwanza katika mstari[emoji23][emoji2960]
Hii ni kwa upande wangu,
Kwa yeye anajua moyon mwake anavonitafsiri[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabwawa kuna muda yana uzuri wake,yaan unaweza piga mashine kwa muda mrefu na kwa style mbalimbali

Mwanamke wa hv niko nae
 
Back
Top Bottom