Hivi NASACO ingekuwepo mpaka leo haya ya bandari tungekuwa tunalalamika kweli

Hivi NASACO ingekuwepo mpaka leo haya ya bandari tungekuwa tunalalamika kweli

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Nafikiria nchi inavyokwenda mpaka unaweza kujiuliza hivi hii CCM iliyopo madarakani imeharibu vitu vingapi ambavyo vingekuwa msaada mkubwa leo.

Hujuma zinazofanywa na ripoti za CAG zilishawahi kufanyiwa kazi?

NASACO iliungua na ukawa mwisho wake

 
Back
Top Bottom