Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Nafikiria nchi inavyokwenda mpaka unaweza kujiuliza hivi hii CCM iliyopo madarakani imeharibu vitu vingapi ambavyo vingekuwa msaada mkubwa leo.
Hujuma zinazofanywa na ripoti za CAG zilishawahi kufanyiwa kazi?
NASACO iliungua na ukawa mwisho wake
www.jamiiforums.com
Hujuma zinazofanywa na ripoti za CAG zilishawahi kufanyiwa kazi?
NASACO iliungua na ukawa mwisho wake
Nimeikumbuka NASACO
ccm ni chukizo sana chukizo sana Shhhhhhh, kaka Nape na Le Mutu watakuchukia!!!!