Itifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo
Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)
Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndio zimechanganyia
Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]
Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)
Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndio zimechanganyia
Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]