Hivi natenda dhambi nzito zaidi au?

Hivi natenda dhambi nzito zaidi au?

Mubby777

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2018
Posts
1,628
Reaction score
5,681
Itifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo

Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)

Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndio zimechanganyia

Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]
 
Itifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo

Kuna dem nimempangia sehem iv karibun sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa(haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)
Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndo zimechanganyia
Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]
Dhambi ni kile kitendo cha wewe kuchepuka, hata kama huko nje kuna mwanga wa nyota tu.
 
We piga tu bora Zambi nzima kuliko Zambi nusu kitendo cha kuchepuka tu ni dhambi plus na hayo makelele yao unakamilisha dhambi yako .

Na walokole usiowaone hivyo ni wanafiki hao yaani hapo kuna network ya kutafunana kwanzia mchungaji hadi muumini
 
Wakianza kusali au kuimba kwaya nawewe ongeza spidi, yaani Kama msanii kawekewa beat aimbe tu.
 
Dhambi watu wanazo nyingi tu Wala usiogope piga pumbu hadi apige yowe pasta asipodindisha au apige nyeto niite mbwa, ulishawahi kusikia mtu anapiga mashine halafu we huna demu daa
 
Itifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo

Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)

Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndio zimechanganyia

Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]
Ukiona nafsi inakusuta ujue kitendo unachofanya siyo sahihi na ndiyo dhambi yenyewe.

Tubu mapema na uache hiyo dhambi. Biblia inasema wazinzi/waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu.
 
Itifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo

Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)

Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndio zimechanganyia

Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]
Mfalme aliyebarikiwa na Mwenyezi Mungu hekima na utajiri alipewa bakshish ya libido. Akaoa wake 700 na bado akawa na michepuko 300.. Wafalme wa zamani walikula mpaka wajakazi bila shida yoyote
 
Mfalme aliyebarikiwa na Mwenyezi Mungu hekima na utajiri alipewa bakshish ya libido. Akaoa wake 700 na bado akawa na michepuko 300.. Wafalme wa zamani walikula mpaka wajakazi bila shida yoyote
💯🤝

kama una uwezo wa kuchakata....chakata mbususu za kila aina
 
Mkuu we tembea na beat mbona kuna siku playlist yangu nilisahau kuangalia kumbe kuna wimbo wa "unajibu maombi" remot sijui iko wapi na me naona mzuka utapungua

Nilitoa maneno nikabaki na instrumental akilini mbona nilitembea vizuri tu.
 
Itifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo

Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)

Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndio zimechanganyia

Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]
Sijui kama dhambi yako itachukuliwaje ila nnachoweza kuimagine na kukwambia bwana mtumishi, wewe moto wako utakuwa wa volcano
 
Itifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo

Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)

Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndio zimechanganyia

Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]
Hiyo ni dalili nzuri. Yesu anakuita urudi kundini. Okoka sasa uachane na zinaa.
 
Back
Top Bottom