SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,555
Afu hizi za mama mkwe zimekuwa common sana siku hizi 🤔🤮Unajua dhambi au unatuchezea tu ushadate na mama mkwe ww
Inabidi tujiupgrade
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu hizi za mama mkwe zimekuwa common sana siku hizi 🤔🤮Unajua dhambi au unatuchezea tu ushadate na mama mkwe ww
Tatizo za siku hizi zimetiwa sumu[emoji817][emoji1666]
kama una uwezo wa kuchakata....chakata mbususu za kila aina
Hao wanaosali wenyewe wanadhambi zao Mkuuhii nafikiri sio
Hii sio sahihi mkuu huwezi endelea kufanya dhambi kwa kisingizio wanaosali pale pia Wana dhambi haikai sawa , mi sio mkristo ila watumishi mtanisaidia kama nakosea 👋Hao wanaosali wenyewe wanadhambi zao Mkuu.
😂DahSijui kama dhambi yako itachukuliwaje ila nnachoweza kuimagine na kukwambia bwana mtumishi, wewe moto wako utakuwa wa volcano
SitakiAchana nao, fanya mambo yako...
HahahaMkuu we tembea na beat mbona kuna siku playlist yangu nilisahau kuangalia kumbe kuna wimbo wa "unajibu maombi" remot sijui iko wapi na me naona mzuka utapungua
Nilitoa maneno nikabaki na instrumental akilini mbona nilitembea vizuri tu.
Sasa ungekuwa mbali na kanisa ndo uasherati wako usingekuwa dhambi?
Hiyo pesa uliyotumia kumpangishia ndo ukaamua kuwekeza kwa wanao ili wapate huduma bora zaidi, huoni kama ungetenda jambo jema?
Wewe sio Mkristo, wewe ni Kitombi. Mkristo ni yule anaye yaishi mafundisho ya Yesu Kristo. Yesu hakuwahi kuwa kitombi. Hivyo basi, koma mara moja kujiita Mkristo, jiite Kitombi ndio ulivyoItifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo
Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)
Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndio zimechanganyia
Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]
Umakini tuTatizo za siku hizi zimetiwa sumu