Hivi natenda dhambi nzito zaidi au?

Hivi natenda dhambi nzito zaidi au?

Stori yako imenikumbusha ile hotel mitaa ya kino yenye ukumbi juu jumapili walokole wanafanya kanisa haha!
 
Piga kiuno kuendana na mdundo, unakuja kunishukuru baadae
 
Sasa ungekuwa mbali na kanisa ndo uasherati wako usingekuwa dhambi?

Hiyo pesa uliyotumia kumpangishia ndo ukaamua kuwekeza kwa wanao ili wapate huduma bora zaidi, huoni kama ungetenda jambo jema?
 
Sasa ungekuwa mbali na kanisa ndo uasherati wako usingekuwa dhambi?

Hiyo pesa uliyotumia kumpangishia ndo ukaamua kuwekeza kwa wanao ili wapate huduma bora zaidi, huoni kama ungetenda jambo jema?

Kila mwanaume anahonga hakuna mwanaume ambaye hahongi ndg sema kila mtu anahonga kulingana na uwezo wake
Wewe ukiwa unaweza kuhonga vocha ya buku ni kwa sababu ndo uwezo wako unapata elf 10 kwa siku unahonga buku vocha
Siku ukipata milion utahonga laki na siku ukiwa na uwezo wa 10m basi utahonga 1m
So acha mbambamba za kuona mwenzio anatumia hela vibaya ni anatumia kulingana na uwezo wake stupid
 
Itifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo

Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)

Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndio zimechanganyia

Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]
Wewe sio Mkristo, wewe ni Kitombi. Mkristo ni yule anaye yaishi mafundisho ya Yesu Kristo. Yesu hakuwahi kuwa kitombi. Hivyo basi, koma mara moja kujiita Mkristo, jiite Kitombi ndio ulivyo
 
Nyimbo zinatia mzuko... wewe endelea hakuna Dhabi kabisa....
 
Back
Top Bottom