Dhambi ni kile kitendo cha wewe kuchepuka, hata kama huko nje kuna mwanga wa nyota tu.Itifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo
Kuna dem nimempangia sehem iv karibun sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa(haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)
Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndo zimechanganyia
Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]
Ukiona nafsi inakusuta ujue kitendo unachofanya siyo sahihi na ndiyo dhambi yenyewe.Itifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo
Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)
Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndio zimechanganyia
Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]
Mfalme aliyebarikiwa na Mwenyezi Mungu hekima na utajiri alipewa bakshish ya libido. Akaoa wake 700 na bado akawa na michepuko 300.. Wafalme wa zamani walikula mpaka wajakazi bila shida yoyoteItifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo
Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)
Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndio zimechanganyia
Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]
Tena sometimes wanatekenyana humohumoHao wanaosali wenyewe wanadhambi zao Mkuu.
💯🤝Mfalme aliyebarikiwa na Mwenyezi Mungu hekima na utajiri alipewa bakshish ya libido. Akaoa wake 700 na bado akawa na michepuko 300.. Wafalme wa zamani walikula mpaka wajakazi bila shida yoyote
Kama wanakwaya wale watu wanajua kuzagamuana wenyewe kwa wenyewe aiseeTena sometimes wanatekenyana humohumo
Sijui kama dhambi yako itachukuliwaje ila nnachoweza kuimagine na kukwambia bwana mtumishi, wewe moto wako utakuwa wa volcanoItifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo
Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)
Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndio zimechanganyia
Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]
Hiyo ni dalili nzuri. Yesu anakuita urudi kundini. Okoka sasa uachane na zinaa.Itifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo
Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila siku)
Sasa shida inakuja wakati wa kuzagamuana unakuta ibada inaendelea hapo au nyimbo ndio zimechanganyia
Aisee huwa najihisi hatia sana huwa naona yes nafanya dhambi ya kuchepuka but kitendo cha kusex huku ibada inaendelea na nasikia(ingawa me sio mlokole) huwa inaniumiza sana [emoji27]