Hivi naweza kujenga nyumba kwa mshahara wa laki 5 kwa mwezi?

Hivi naweza kujenga nyumba kwa mshahara wa laki 5 kwa mwezi?

Kwa hali hii hata watanzania wanakata tamaa ya kuishi Tanzania, na ninashauri ni vyema mambo kama haya wangekuwa wanakusanya data kutoka Kwa wateja wao na kuwashirikisha mambo kama hayo, maana wao ndio wanaotoa hizo Kodi,na sio hao wanaoziweka.
 
Kukopa bank naona kama kijipunguzia tu mshahara wako. Imagine unalipwa laki 5 alafu unakopa ili unachokipata uwapelekee bank kweli. Si Bora ujinyime tu ukiwekeze mwenyewe japo ni ngumu sana kwa mshahara wa laki 5 kutoboa .labda kama kazini kwako unaiba au unapata posho nyingine
 
Hii mentality ipo kwa watumishi wote mkuu. Siyo walimu pekee. Mtumishi anacho kiwaza ni kujenga na kununua usafiri pekee.
Aisee ni noma mkuu na akiwa na nyumba si ajabu familia ikaongezeka, mbona ni kama kujitafutia ugumu wa maisha kwa makusudi kabisa.
 
Wasikudanganye! Huwezi jenga kwa mshahara wa laki tano!

Muwekee mama genge, angalau aweze kupata hela ya nyinyi kula. Kopa benki, kisha angalia kilimo kisicho na makuu, km kisichohitaji umwagiliaji, maana kutegemea mvua ya Mungu, hapo faida ni majaliwa! Kama kilimo kitaweza kukulipa, weka akiba hadi uweze kununua kiwanja cha bei nafuu. Endelea kudunduliza hadi uweze kuanza kufyatua tofali kidogo kidogo bila kukata tamaa. Utashangaa una matofali ya kutosha kuanza kuweka msingi, angalau wa chumba na sebule. Pia la msingi, hakikisha mnatumia uzazi wa mpango, usipate mtoto mwingine, angalau mpaka utakapoweza kumaliza chumba na sebule uhamie muache kupanga.

Mama akikazana na genge, nawe ukakazana na kilimo, mnaweza kutoboa pole pole.

Kila la heri.
 
Mbona naona kama nimekuja kuwasindikiza walimwengu? Age 30, kazi mshika chaki, familia na mke mtoto mmoja, elimu degree, uwezo wa kukopeshwa million 15, nina miaka 2 kazini.

Naweza kujenga nyumba? Au niachane na pressure za kujenga? Niende nikalime? Naona Kama nawasindikiza wanadamu hivi.

Sioni nikijenga kabisa.
Ndiyo, nyumba ya milele (kaburi).
 
Mpe mchanganuo wa pesa anayolipwa huyo unayesema analipwa 80 elfu na anajenga pia.
Fanya hivyo namimi nijifunze kitu.
Kimsingi hajengei hiyo 80,000 bali huizungusha kwenye vibiashara ambavyo wengi wanavidharau...na kile kipatikanacho ndicho hu.....na ku....na kila apatapo 80 000 nyingine huikuta ile ya mwanzo ipo mzungukoni na kuibustisha
👍
 
Yeye anashauri tuwekeze ndio tujenge, japo mimi niko na ambition kubwa ya kujenga
Sometimes Mwanamke niwakumsikiliza, mm ni Medical Attendant nataka nivute loan pia ila wife kanishsuri tuwekeze kwanza maana unaweza jenga ukaishia njiani na mkopo umekopa kwa miaka nane alooo hapo itakuwa ni kazi.
 
Back
Top Bottom