Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkeo anafanya kazi gani?Naweza kujiajiri hata nikiwa ndani ya ajira.
Kazi za watoto wa mafukara hizi,ona sasa digrii nzima laki tano kwa mwezi.ila mkuu we pambana,mbona kuna majamaa zangu walinzi wanapokea 150 na wamejenga🤣🤣Mbona naona kama nimekuja kuwasindikiza walimwengu? Age 30, kazi mshika chaki, familia na mke mtoto mmoja, elimu degree, uwezo wa kukopeshwa million 15, nina miaka 2 kazini,
Naweza kujenga nyumba? Au niachane na pressure za kujenga? Niende nikalime? Naona Kama nawasindikiza wanadamu hivi. Sioni nikijenga kabisa.
Usithubutu kuchukua mkopo kwa ajili ya kujengea nyumba kwa kiasi hicho.Mbona naona kama nimekuja kuwasindikiza walimwengu? Age 30, kazi mshika chaki, familia na mke mtoto mmoja, elimu degree, uwezo wa kukopeshwa million 15, nina miaka 2 kazini,
Naweza kujenga nyumba? Au niachane na pressure za kujenga? Niende nikalime? Naona Kama nawasindikiza wanadamu hivi. Sioni nikijenga kabisa.
Achana na kujenga mzeeMbona naona kama nimekuja kuwasindikiza walimwengu? Age 30, kazi mshika chaki, familia na mke mtoto mmoja, elimu degree, uwezo wa kukopeshwa million 15, nina miaka 2 kazini,
Naweza kujenga nyumba? Au niachane na pressure za kujenga? Niende nikalime? Naona Kama nawasindikiza wanadamu hivi. Sioni nikijenga kabisa.
Umefunga uzi,Nani kakwambia kajenga kwa kutumia mshahara...Mshahara ni wa kula na kunywa...kujenga na maendeleo mingine ni mitikasi yako tu kama...Biashara, Kilimo, Mikopo n.k
😅😅😅😅 Ety kilio Cha kengeUsithubutu kuchukua mkopo kwa ajili ya kujengea nyumba kwa kiasi hicho.
Utakuja kulia kilio cha kenge na utamchukia kila mtu!!!
Aende na picha ya nyumba kwa MwamposaUtajenga sema Amen
Siamini huko lakini kama anaamini afanye hivyoAende na picha ya nyumba kwa Mwamposa
Nyumba ya 15M ni ukubwa gani??Tumia mshahara wako / mwajiri wako kama dhamana, Nenda benki kachukue fedha na ujenge.
Hakikisha chumba kimoja ni Fremu ya duka (ambapo utaweka biashara yako au utakodisha).
Akituliza akili na kuchanga karata zake vizuri, anajenga vizuri tu. Lazima ajinyime (kama mzee wa matanuzi aache).Kuna kujenga nyumba na kujenga hoja.
Mshahara wa laki 5 utajenga hoja.
Ulipotelea wapi rafiki!Ngoja nipate nguvu ya kuandika nikupe nondo
Nipo rafikiyngu wee ndo umepoteaUlipotelea wapi rafiki!
Ivo yaanTumia mshahara wako / mwajiri wako kama dhamana, Nenda benki kachukue fedha na ujenge.
Hakikisha chumba kimoja ni Fremu ya duka (ambapo utaweka biashara yako au utakodisha).